Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,913
- 3,736
Hakuna wakumpinga mwamba huyu ana maunyama mwingi.hakuna mwamba mwingine hapa JF kama yeye truly is the king.
Usiwe hivyo mkuu, kumsifia mtu Kwa jambo analofanya mbona ni kawaida?Kamfungulia uzi wa kumsifia mwanaume mwenzio tena mwenye mke kunatia mashaka
Aidha unataka kumpindua mke wake au unataka kua mchepuko wake
NB: Naunga mkono hoja ya mleta mada
Kosa lake kubwa ni kuichukia CCM waziwazi (jokes)😂
Njemba ngangari..💪✊👊🤙👉Hakuna wakumpinga mwamba huyu ana maunyama mwingi.hakuna mwamba mwingine hapa JF kama yeye truly is the king.
Lakn nmeunga mkono madaUsiwe hivyo mkuu, kumsifia mtu Kwa jambo analofanya mbona ni kawaida?
Kuna muda unaiona jamiiforum kabisa inapoteza dira,lakini mshana huwa anachangamsha jukwaa na mada zake tofauti tofauti,na nyingi zina tija.
Kosa lake kubwa ni kuichukia CCM waziwazi (jokes)😂