JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Wakuu nimekutana na hii taarifa hapa ikieleza. "Waziri wa Maliasili na Utalii wa Tanzania, Dkt. Pindi Chana, amesema kuwa serikali yao itasimika pazia kubwa katika Mlima Kilimanjaro ili kuwazuia watalii wasiuone mlima huo kutoka upande wa Kenya katika mji wa Oloitokitok. Amesema sababu ni kwamba watalii wanapokuja kuutazama mlima huo kupitia upande wa Kenya, sekta ya utalii ya Kenya ndiyo hunufaika na siyo yao, ilhali serikali ya Tanzania hainufaiki wala kupata mapato yoyote. Ameongeza kuwa watalii wanaotaka kuuona mlima huo wanapaswa kuingia Tanzania, kulipa ada halali, visa na gharama nyingine husika, ndipo waweze kuuona mlima."
Cristiano Ronaldo and Georgina Shine in Zanzibar: A Royal Welcome in Swahili Splendor The turquoise waters of the Indian Ocean sparkled under the morning sun as the island of Zanzibar prepared for an extraordinary moment. Word had spread quickly across Stone Town: Cristiano Ronaldo and his elegant partner Georgina Rodríguez had arrived! Excitement filled the narrow, historic streets as fans gathered, waving Tanzanian flags and chanting Ronaldo’s name in unison. Upon arrival at Abeid Amani Karume International Airport, the couple was greeted with a breathtaking Swahili reception. Dancers in kanga and kitenge fabrics swayed gracefully to the beat of taarab music, accompanied by the rhythmic pulse of ngoma drums and the melodies of...
Back
Top Bottom