MARIA SARUNGI AMEANDIKA KWENYE UKURASA WAKE WA X KUWA GODBLESS LEMA APOKEA BILIONI 4 KUISAMBARATISHA CHADEMA.
"🚨‼️Kaka yangu GODBLESS LEMA ametuchoma wapigania Haki.🚨‼️ Wakati tunalilia haki, tunapambana kwa ajili ya Mdude, yeye anapokea bilioni 4 kwa ajili ya kuizamisha CHADEMA polepole. Anawaumiza waliompigania, anahujumu harakati, halafu anapanga kuondoka nchini kujiweka salama huku akituacha kwenye mateso. Huu siyo usaliti wa kawaida—ni usaliti wa kihaini. #FreeMdude #UsalitiMtupu #Tunaona"
🔚🔚🔚🔚🔚🔚🔚🔚🔚
Ameandika Maria Sarungi kwenye Ukurasa wake wa X zamani Twitter.