JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Wakuu nimekutana na Taarifa huko mtandaoni inayoeleza kuwa; "=AZYgKkVELthfF2or8cz9hZgtDA2u2RiBdMfdI8maVSNICA04cSYXXbdXRplfrWQvl_7jXQwbtQeqJ-AHtoRziO5eE5VYJ6t4oaVOH482QFJ6S9hWcWKyFVkANFBRfLwvaufqlpK135He2ochFj0XJkUCngvoo0g2yoYg_jBY6fBEDX62nxo0jsmwKYNFNTfLS8Y1EhB4LKO4uYtMX6BoU9IN&tn=*NK-R']#Kesi inayoikabili Tanzania juu ya mauwaji ya halaiki, rasmi ilianza kusikilizwa kwanzia tarehe 19 January ,na mpaka leo 21 January ambapo muafaka wa majibu yote umetolewa chini ya majaji wa 4 kuhusu swala la Hukumu hiyo, ambapo kila kitu pamoja na ushahidi umeonyesha kuwa ni kweli kila kila kitu kilichotokea siku iyo ya October 19. Nukuu: kila yoyote aliye husika katika mauwaji ya halaiki lazima sheria itafata utaratibu mpaka kumkamata lasi hivyo...
Wakuu nimekutana na hii Post huko Facebook ikiwa na ujumbe huu pamoja na picha. Sasa mbona hii ajali hamtangazi na imetokea toka jana jioni! Tuseme mpaka sisi =AZYt0Ko_YeQABm-UfKFlVaJiSFfPv2-dz9JJOfvsFfiCdTxwxaG4sSc1JmEJIr7Rq-xAaPI4hZ4BvuAxeYlo01Z6HvXxSii3oY68FUnRQrBG8ot7pOiMtSjJdi9C_K1olnVWaTJgp0Z59fPZzX93h8H7ev0hCvsIMZc4fAzTZjjJCA&tn=*NK-R']#KigogoMedia tutangaze ndio nanyie mtatangaza?mtu kateuliwa juzi akaanza na kaul za kutisha watu sasa aendelee kutisha watu. Msipotangaza mpaka saa 7 mchana nitakuja hadharani na taarifa yote.
Kumekuwepo na video ambayo inasambaa kwenye mitandao wa facebook pamoja tiktok ikielezea kuhusu matumizi ya alama yenye nembo 50 na matumzi yake katika barabara. Kwa kutumia ufuatiliaji kupitia account rasmi ya RAS Tanzania (Taasisi ya Mabalozi wa Usalama Barabarani Tanzania (Tanzani Road Safety Ambassadors) inaelezea kuwa ni kwamba hapo ni miwsho wa spidi 50 kutoka hapo dereva anatakiwa kuongeza mwendo kadiri atakavyohitaji
Back
Top Bottom