heirry Henry speaks on PSG vs Bayern Munich score line 5:4
"Listen, we need to have a serious conversation about what we are watching. For the fans, of course, it’s exciting, nine goals...
Huu utaratibu umeanza miaka ya hivi karibuni, majayanti wawili, Simba na yanga kuwa na utaratibu wa kutoa sadaka pindi tu wanapokutana.
Sadaka ni jambo jema, kwa nini isiwe kwa michezo yote? Wajuzi 👇
Jana usiku mechi ya Klabu bingwa ulaya PSG vs Bayern ilikuwa ya kusisimua na kuleta gumzo kwa mashabiki wa mpira duniani.
Mechi hiyo inafanana na mechi iliyochezwa 2004 kati ya Manchester United...
Kabla ya Mechi ya Yanga SC.....Mashabiki hutamba na kuwa na nyodo nyingi huku wakijiamini kushinda
Mechi ikiwa inaendelea Uwanjani....Mwamuzi (Referee) anatuumiza, hatupendi, anaibeba Yanga SC na...
Mimi sio msikilizaji na mfuatiliaji wa vipindi vya michezo lakini nikikuta Wastara Msese wa EATV akiwa ana host kipindi lazima nisikilize hadi mwisho.
Wastara ana charisma kwenye angle hiyo na...
Uwanja wa Benjamin Mkapa ukiendelea na ukarabati kuelekea mashindano ya AFCON 2027, mafundi wanaofanya kazi hiyo wamekufukua vitu vya ajabu vinavyodhaniwa kuwa vya kishirikina.
Vitu hivyo...
Kwa zile timu dhaifu ambazo kila mara huwa zinafungwa ili kuwepo na usawa.
Mnaonaje timu mbili zikacheza dhidi ya moja .
Yaani mfano simba icheze dhidi ya jkt na pamba.
Au Man City icheze dhidi...
Majina haya yanawapa shida mashabiki, makocha, waandishi wa habari na wachambuzi mbalimbali
1. Sokratis Papastathopoulos
(Greece/Dortmund)
2. Jakub Błaszczykowski:
Poland (Wolfsburg)
3...
Mimi mpaka leo naamini World Cup bora kuiona ni ile ya mwaka 2006. Jinsi Italy walivyopambana mpaka kutwaa taji. Italy ile iliyoundwa na wakongwe kama Luca Toni, Buffon, Pirlo, Materazzi, Del...
Leo kwenye kipindi cha michezo pale Crown Fm kilivyokuwa kinaendelea ilitokea ugomvi ambao si mzuri kabisa!
Yani ilikuwa hivi..... Mchambuzi Hans aliingilia wakati mchambuzi mwenzio akichambua...
Japo CAF wamekanusha lakini aliyeshauri kuwekwa kapu Moja na Kenya na Uganda alitukosea sana.Vinchi Hadi Leo hii vinapigania njaa na kuomba omba chakula wataweza kuandaa mashindano hao?
Kenya...
Mchezo wa Nusu Fainali ya Muungano Cup Kati ya Mabingwa watetezi Yanga SC dhidi ya Azam FC unachezwa saa 2: 15 usiku uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar
Updates zote utazipata hapa!
Dakika 8...
Kama lengo ni kudumisha muungano kwanini mashindano yafanyike Zanzibar tu?
Kwanini sherehe za Uhuru wa Tanganyika hakuna mashindano kama ya mapinduzi?
Kwanini tunapenda kuficha mambo kila wakati?
Wakati huku serikali ikiwa bado inajifkiria,nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaendelea na Ujenzi wa Arena kubwa Afrika Mashariki na Kati.
Arena hiyo itakuwa ikiitwa Kinshasa Arena,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.