Mnaonaje timu mbili zikicheza dhidi ya moja.

Mnaonaje timu mbili zikicheza dhidi ya moja.

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
39,119
Reaction score
49,811
Kwa zile timu dhaifu ambazo kila mara huwa zinafungwa ili kuwepo na usawa.

Mnaonaje timu mbili zikacheza dhidi ya moja .

Yaani mfano simba icheze dhidi ya jkt na pamba.

Au Man City icheze dhidi ya Brighton ba Leeds.

Brazil dhidi ya Rwanda na Burundi yaani kuwe na fareness kidogo .
 
Leeds peke yake anamfunga city vizuri tu, tena city akija vibaya anakula hata tatu, au uongo
Harmful shabiki mpya wa city😁
Kuna timu zinaonewa kila siku mpaka tunazeeka zinaonewa tu.

Mnaonaje tukafanya mabadiliko, Brazil afungwe na Bwana na Burundi tushuhudie.

Yaani wachezaji 22 dhidi ya 11.
 
Kuna timu zinaonewa kila siku mpaka tunazeeka zinaonewa tu.

Mnaonaje tukafanya mabadiliko, Brazil afungwe na Bwana na Burundi tushuhudie.

Yaani wachezaji 22 dhidi ya 11.
Wachezaji si watakuwa wengi sidhani kama uwanja utatosha, labda wachague wachezaji wazuri kwenye vikosi vyao na makocha wakuu wawili wacheze dhidi ya brazil, ila kwa brazil ya sasa mabishoo wanaweza kufungwa
 
Wachezaji si watakuwa wengi sidhani kama uwanja utatosha, labda wachague wachezaji wazuri kwenye vikosi vyao na makocha wakuu wawili wacheze dhidi ya brazil, ila kwa brazil ya sasa mabishoo wanaweza kufungwa
Hiyo bado itakuwa timu moja.

Nataka 22 dhidi ya 11.

Ikiwezekana waongeze ukubwa wa viwanja.
 
Hiyo bado itakuwa timu moja.

Nataka 22 dhidi ya 11.

Ikiwezekana waongeze ukubwa wa viwanja.
hao 11 lazima watafungwa maana hapo ni faida ya wawili kwa mmoja, ila kipa anakuwa mmoja sio ndio
 
Football sio sex ifanyike kwa threesome
Mkuu kwani wewe huchoki simba yanga, Brazil, France, Italy Germany, Mamelodi, Al ahly , ac Milan, Bayern, ndio zina shinda tu almost kila mwaka wa mashindano??
 
sio vitu vyote vikijumlishwa vinakua na nguvu, hapo ndo watapigika vizuri kutakua hakuna chemistry wote wamekuja na akili zao
 
Kwa zile timu dhaifu ambazo kila mara huwa zinafungwa ili kuwepo na usawa.

Mnaonaje timu mbili zikacheza dhidi ya moja .

Yaani mfano simba icheze dhidi ya jkt na pamba.

Au Man City icheze dhidi ya Brighton ba Leeds.

Brazil dhidi ya Rwanda na Burundi yaani kuwe na fareness kidogo .
Huwezi kuwa ccm halafu ukawa na akili
 
Back
Top Bottom