Kwasababu Tanganyika haipo.Kama lengo ni kudumisha muungano kwanini mashindano yafanyike Zanzibar tu?
Kwanini sherehe za Uhuru wa Tanganyika hakuna mashindano kama ya mapinduzi?
Kama Tanganyika haipo basi Muungano haupo piaKwasababu Tanganyika haipo.
Muungano Tanzania na Zanzibar.Kama Tanganyika haipo basi Muungano haupo pia
Tanzania ndiyo nchi ipi? Tanzania na Zanzibar imeungana na kuwa nchi gani?Muungano Tanzania na Zanzibar.
Cha kwanza muungano hauma maana yoyote mpaka sasa. Kwenye kila hatua ya sasa inaiumiza sana Tanganyika,kuanzia mapato mpaka sheria.Kama lengo ni kudumisha muungano kwanini mashindano yafanyike Zanzibar tu?
Kwanini sherehe za Uhuru wa Tanganyika hakuna mashindano kama ya mapinduzi?
Kwanini tunapenda kuficha mambo kila wakati?
Wazanzibar wako 1,000,000 tu wakati watanganyika wako 65,000,000, hawa wanatunjojaje sisi. Tutaoana na kuzaliana hadi tutawamaliza kabisa. Ni maswala ya muda tu, msiwe na haraka. Nyerere hakuwa mjinga kukubali muungano wa hivi.Cha kwanza muungano hauma maana yoyote mpaka sasa. Kwenye kila hatua ya sasa inaiumiza sana Tanganyika,kuanzia mapato mpaka sheria.
Upande wa Zanzibar wangekuwa bila muungano wangekuwa mbali sana kimaendeleo. Watanganyika wezi sana kwa mali za umma.
Tukija kwenye mashindano ya mpira ya muungano zaidi ni kuwatangaza wachezaji wa Zanzibar huku bara
Umenena vema. Kutunyonya kwake ni hivi mfano hivi sasa tuna kiongozi wa wapi?. Mtanganyika huwezi kuwa rais Zanzibar. Hivi sasa tuna rais mwenye asili ya huko. Ikitokea mgawanyo wa msaada fulani kutoka nje mgawanyo wake ni nusu kwa nusu bila kujali uwingi wa watu.Wazanzibar wako 1,000,000 tu wakati watanganyika wako 65,000,000, hawa wanatunjojaje sisi. Tutaoana na kuzaliana hadi tutawamaliza kabisa. Ni maswala ya muda tu, msiwe na haraka. Nyerere hakuwa mjinga kukubali muungano wa hivi.
Zanzibar ndio waandaaji, Tanzania Bara wamealikwa. Wanaweza kuwaalika hata timu za SomaliaKama lengo ni kudumisha muungano kwanini mashindano yafanyike Zanzibar tu?
Kwanini sherehe za Uhuru wa Tanganyika hakuna mashindano kama ya mapinduzi?
Kwanini tunapenda kuficha mambo kila wakati?