Mchezo wa Nusu Fainali ya Muungano Cup Kati ya Mabingwa watetezi Yanga SC dhidi ya Azam FC unachezwa saa 2: 15 usiku uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar
Updates zote utazipata hapa!
Dakika 8...
Kama lengo ni kudumisha muungano kwanini mashindano yafanyike Zanzibar tu?
Kwanini sherehe za Uhuru wa Tanganyika hakuna mashindano kama ya mapinduzi?
Kwanini tunapenda kuficha mambo kila wakati?
Wakati huku serikali ikiwa bado inajifkiria,nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaendelea na Ujenzi wa Arena kubwa Afrika Mashariki na Kati.
Arena hiyo itakuwa ikiitwa Kinshasa Arena,na...
Kijana wetu katuheshimisha tena huko duniani. Katwaa medali yaa fedha Boston Marathon 2026 kwa muda wa masaa 2:02:47. Hii ni rekodi ya taifa. Ukimtoa Filbert Bayi ninadhani Alphonce Simbu ndo...
Kuhusu wachambuzi wanaoandika au kuongea habari zenye lengo la kuichafua Klabu ya Yanga, viongozi wanashughulikia jambo hilo na muda si mrefu nitawajuza hatua zitakazochukuliwa.”- Ally Kamwe...
Klabu ya Chelsea FC imemfuta kazi kocha wake mkuu, Liam Rosenior, kufuatia mwenendo mbaya wa matokeo ndani ya klabu hiyo.
Uamuzi huo umechukuliwa leo Jumatano Aprili 22, 2026 baada ya Chelsea...
Mchezo wa soka una mikasa mbalimbali sana. Kuna mikasa ya kusikitisha na kuna ya kufurahisha.
Leo nimemkumbuka Michael Ballack, kiungo fundi kabisa wa Kijerumani.
Ballack angeweza kucheza kiungo...
Wakati Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania, Sefu Shabani, maarufu kama Matonya akiendelea kushikiliwa na mkono wa sheria huko nchini Kenya, ndugu wa karibu anayefahamika kama...
Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Muungano Cup wapo uwanjani New Amaan Complex Visiwa Zanzibar wakicheza na Muembe Makumbi
Hadi sasa Dakika 31 Yanga anaongoza goli moja liliofungwa na Prince...
Mbeya City ambayo imepata kipigo cha goli 6-0 mnamo 16-4-2026 Majira ya Usiku mchezo uliochezwa Mitaa ya Mwenge Dar es salaam inasemekana kuna harufu ya Upangaji Matokeo.
Kocha wa Mbeya City-...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa msimu wa 2025/2026, ambapo vigogo wa soka nchini wamepangiwa vibarua...
Kiungo wa Young Africans SC, Mudathir Yahaya, atakosa mchezo wa dabi unaosubiriwa kwa hamu dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Simba SC, baada ya kupewa adhabu ya kufungiwa na Bodi ya Ligi Kuu...
Namungo yuko nyumbani akimkaribisha Simba mechi ipo dakika ya 13 kwenye uwanja wa
Majaliwa Stadium.
Vikosi vya leo
Gli kwanza la simba limewekwa ndani na Libesse Gueye
25' Simba wanapata...
Mwanariadha nyota wa Tanzania Alphonce Simbu amefanikiwa kumaliza nafasi ya pili kwenye mashindano ya Boston Marathon nchini Marekani
Simbu alikimbia kwa muda wa masaa 2:02:47, nyuma ya mkenya...
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi...
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.