Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Sio hari,eti timu ina hari,sio hari ni ARI
3 Reactions
5 Replies
310 Views
Yanga wapo Mbele hadi sasa wakiwa wamefunga magoli matatu. Magoli mawili yamefungwa Okello na goli moja limefugwa na Max Mpia Mechi bado ipo live Yanga wanaendelea na ubabe kwenye ligi kuu ya...
3 Reactions
6 Replies
271 Views
Mara nyingi tunapo jaribu wakumbusha ndugu zatu mashabiki wa Arsenal juu ya uwezo na ukubwa wa team yao, huja juu na huwa wana hisi pengine ni chuki au utani na dhihaka za kawaida kwenye soka...
4 Reactions
15 Replies
915 Views
Bruno Fernandes has been named the Football Writers’ Association (FWA) Men’s Footballer of the Year after an impressive season for Manchester United. The Portuguese midfielder beat strong...
2 Reactions
4 Replies
232 Views
Coach Pedo Valdemour Soares, ambaye ni raia wa Ureno tayari yupo nchi ili kukinoa kikosi cha mabingwa wa kihistoria nchini na club kubwa nchi na ukanda huu wa CECAFA Young Africans Coach Pedro...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Michael Carrick has beaten all of these big clubs in the Premier League! ▫️Manchester City ▫️Arsenal ▫️Liverpool ▫️Chelsea 😂😂😂 Who's next?
7 Reactions
27 Replies
505 Views
Propaganda la goli la chama ni kuwapumbaza mashabiki wa kolo fc. Viongozi wa Simba wanajua kuwa mashabiki wa Simba ni bendera fata upepo tu 🤣.. Timu ndani ya miaka 4 mfululizo Haina kombe zaidi...
3 Reactions
17 Replies
489 Views
Lamine Yamal ana kipaji cha asili (talent), Michael Olise ana ubunifu wa kipekee (flair) uwanjani, lakini Khvicha Kvaratskhelia ndiye mchezaji anayechanganya vitu vitatu muhimu kwa kiwango cha...
2 Reactions
13 Replies
453 Views
Habari zenu, Leo nusu fainali ya Uefa itakuwa ndo mwisho wa safari ya Arsenal kwani Atletico ndie atakayeshinda mechi hii, huu sio utabiri ndivyo inavyokwenda kutokea.
5 Reactions
48 Replies
996 Views
"Waacheni wananchi watoe yaliyomo vifuani mwao kwa uhuru. Kwa kufanya hivyo itatusaidia sisi kama Serikali kwa namna mbili; Kwanza, tutajua wananchi wetu wanafikiria nini kuhusu jambo fulani...
0 Reactions
5 Replies
308 Views
Kwa ufupi sana. Simba wamemkosa Feisal pendekezo la kocha Fadlu, lakini pia uwezekano wa kumpata Allan Okello ni mgumu. Fadlu ameonesha bado anahitaji mchezji wa kuamua mechi kubwa na...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Salaam Wanajukwaa, Kumekuwa na kelele nyingi sana juu ya Tanzania 'Wonderkid' Walid/Clement Mzize hasa juu ya Thamani yake ambapo kwa mujibu wa Maelezo ya Klabu yake na mashabiki wa Young African...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Allan Okello amefunga goli pekee wakati timu yake ikiifunga KMC na hivyo kuendelea kuongoza kwa kufikisha pointi 51 kwenye michezo 21 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara. KMC imeendelea kuwa na hali...
2 Reactions
4 Replies
293 Views
Kinachoendelea Dili ya Clement Mzize Kuelekea ESPERANCE SPORTIVE DE TUNIS ni Masikitiko Makubwa.👀👀 Dili ya Clement Mzize Kwenda Esperance Sportive de Tunis Linakaribia Kabisa Kuota Mbawa Yanga...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
MATCH DAY Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan...
8 Reactions
206 Replies
8K Views
Atlético Madrid wanatarajiwa kuwa wageni wa Arsenal katika uwanja wa Emirates, kwenye mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League, mchezo utakaopigwa saa nne usiku kwa saa za Afrika...
1 Reactions
36 Replies
746 Views
https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili...
2 Reactions
9 Replies
339 Views
Tumeshaingia fainal Kishindo kikubwa cha dunia kubeba kombe uefa bila kufungwa
2 Reactions
1 Replies
138 Views
Eti sababu ya pesa zako unaenda kununua nyumba JIRANI ya uwanja wa meja isamuyo unaifanya sehem ya kubadilishia nguo. SIJAWAHI kuona upumbavu mkubwa kama huu duniani. TFF sio wajinga kuweka...
6 Reactions
23 Replies
545 Views
Back
Top Bottom