chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,038
- 3,081
Mimi sio msikilizaji na mfuatiliaji wa vipindi vya michezo lakini nikikuta Wastara Msese wa EATV akiwa ana host kipindi lazima nisikilize hadi mwisho.
Wastara ana charisma kwenye angle hiyo na ninamuweka namba moja kwenye watangazaji wote wa vipindi vya michezo hapa bongo. anashika namba moja.
kuanzia Sauti hadi namna ya ku present ujimsikiliza kwenye redio au kwenye Tv lazima utaendelea kumsikiliza.
Wastara ana charisma kwenye angle hiyo na ninamuweka namba moja kwenye watangazaji wote wa vipindi vya michezo hapa bongo. anashika namba moja.
kuanzia Sauti hadi namna ya ku present ujimsikiliza kwenye redio au kwenye Tv lazima utaendelea kumsikiliza.