Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kama umekua ukifatilia mechi za yanga sc msimu huu wa mashindano , nadhan utakua umeona kiwango cha mchezaji Clotus Chama . Kwangu mimi naona hadi sasa Chama hana mchango mkubwa kwenye pitch ...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Bruno Fernandes has officially been named the 2025/26 EA SPORTS Premier League Player of the Season after a sensational campaign with Manchester United. The Portuguese midfielder claimed the award...
1 Reactions
8 Replies
263 Views
Mfalme wa Morocco Mohammed VI ametoa msamaha wa kifalme kwa mashabiki 18 wa soka kutoka Senegal waliokuwa wamefungwa jela kwa kufanya fujo wakati wa fainali ya AFCON. Msamaha huo umetolewa kwa...
0 Reactions
3 Replies
174 Views
Pep alifanya barcelona iwe tamu kuliko hata dem ulomuahid ndoa Pep alifanya messi aonekane mungu wa mpira Alitengeneza kiungo hatari zaid duniani yaani Andres...sergio...Hernandez Hakuwai...
24 Reactions
176 Replies
20K Views
Simba yawakanda Coastal kwao, mechi yaisha 2-1 na kuongoza Ligi Kuu, leo Mei 21, 2026 Mechi iliyopigwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga imewafanya Simba SC Kuibuka na Ushindi baada ya kusawazisha na...
0 Reactions
8 Replies
357 Views
Hey people, Kimsingi nilianza kubet mwaka 2017,baada ya kuachana na aliyekuwa mwanaume wangu wa kwanza wakati huo kubet ilikuwa kama mbadala wa kuingia kwenye mahusiano mengine, kwasababu...
18 Reactions
80 Replies
2K Views
Arsenal ni sawa na JKT au TRA! Matusi hayaruhusiwi hapa
10 Reactions
38 Replies
593 Views
Timu ya soka ya Yanga imefanikiwa kufunga magoli 3-0 dhidi ya Singida Big Stars Magoli ya Yanga yalifungwa na Allan Okello (Star Boy) magoli mawili na Mudathir goli moja Kwa ushindi huo Yanga...
5 Reactions
32 Replies
832 Views
  • Redirect
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali itaendelea kufunga taa katika barabara mbalimbali nchini ili kupunguza ajali za usiku na kuendana na kasi ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi...
0 Reactions
Replies
Views
NBA Ilianzishwa mnamo Juni 6, 1946, kama Chama cha Mpira wa Kikapu cha Amerika (BAA), ilipitisha jina la NBA mnamo 1949 baada ya kuunganishwa na Ligi pinzani ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL)...
6 Reactions
78 Replies
3K Views
Kikosi cha Kombe la Dunia cha DR Congo kitalazimika kujitenga kwa uangalizi maalum wa afya nchini Ubelgiji kwa siku 21 mfululizo ili kuruhusiwa kuingia Marekani. Hatua hiyo ya kiusalama imewekwa...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Adhabu ilipotolewa mkaja na Propaganda ya Kujenga Bondeni Mafurikoni kwenu ili muwazuge Mashabiki wenu Mbumbumbu na kweli wakawaamini japo naona Siku hizi wapo baadhi wanaanza kuwa na Akili...
1 Reactions
6 Replies
252 Views
Sport Fishing ni Uvuvi wa Samaki katika bahari, Maji ya ziwa, bwawa au mto Kwa ajili ya kujifurahisha, burudani au Mashindano. Hii ni aina tofauti na Uvuvi wa Samaki wa biashara na kujikimu, huu...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya miaka mingi ya kutawala soka la England, Pep Guardiola ameondoka Manchester City. Habari hii inaweza kuonekana kama mwisho wa enzi moja, lakini pia inaweza kuwa mwanzo wa enzi nyingine...
5 Reactions
12 Replies
320 Views
Wakuu mida hii kuna fainal ya Europa League Ni kati ya Freiburg Vs Aston Villa Kocha wa Villa, Unai Emery ndio fundi wa kubeba ndoo hii, je leo atachukua tena akiwa na Villa?
3 Reactions
94 Replies
747 Views
Pickford golini leo hatoruhusu chuma iingie. Beto ataweka chuma tunamaliza mchezo.
4 Reactions
195 Replies
2K Views
Bila ya kujali msimamo wa ligi ulivyo hivi sasa, mechi sita za mwisho za ligi kuu Tanganyika, ndizo zitakazoamua nani atakuwa bingwa Kwa msimu wa mwaka 2025/2026. Wakati Simba itaanza na Dodoma...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Tayari mkufuzi Tuchel kataja majina ya wachezaji watakao wakilisha Taifa la Uingereza ( England ) kwenye mashindano ya Kombe la Dunia Kikosi hiki kimepokelewa kwa mitazamo tofauti na wapenzi wa...
0 Reactions
4 Replies
965 Views
Guys inaonekana kalazimishwa kuja TZ.body language imekataa kabisa aha hanha ila sisi ndo tunashoboka hatari. Ukimwangalia yaani kama haelewi kinachoendelea endelea anabaki kushangaa shangaa...
8 Reactions
29 Replies
659 Views
Mtanange uko live Mamelodi wanaongoza 1-0. Kipindi Cha pili kinataka kuanza VAR haifanyi kazi. Refa anasema tukipige bila VAR, Mamelodi wanasema sawa, ila AS FAR RABAT wanasema hapana. VAR...
5 Reactions
14 Replies
388 Views
Back
Top Bottom