Kila siku mamilioni ya watu duniani hufuatilia football predictions wakitumaini kupata ushindi mkubwa. Lakini ukweli ni kwamba bettors wengi wanaofanikiwa kwa muda mrefu hutegemea analysis...
Baada ya kuifunga Sports Club Villa kwenye Uwanja wa Nakivubo, kwa magoli mawili ya Said Mwamba na. Edibilly Lunyamila kwenye fainali ya michuano ya Klabu bingwa ya Africa Mashariki na ya kati...
Duchu ndio kusema alikuwa anawasubiri Loemba na Gomez ili tu...awasaidie goli Lao walilokuwa wameliplani walipokuwa pale nje....Goli walilokuwa wamelichora..!
Salute kwao goli La tatu ...Loemba...
Chelsea wamefikia makubaliano ya kumsajili Xabi Alonso kama kocha wao mpya Je ni Chaguo Sahihi!?
Xabi Alonso ni kocha bora sana kimkakati, na baadhi ya watu wanasema angepaswa kusubiri kazi...
Mastaa wakubwa duniani Madonna, Shakira, na kundi la BTS wataongoza jukwaa siku ya fainali ya Kombe la Dunia Julai 19, 2026 huko New Jersey, Marekani. Michuano hii mikubwa inaandaliwa kwa...
1. Mimi ni shabiki wa Yanga.
2. Uwanja ni hatua kubwa kwa maendeleo ya club, na ikitokea Yanga ikakamilisha uwanje wake wakati Simba hajachukua bado NBC, basi inawezekana mikataba ya NBC ikaisha...
Hii ligi sijui wanatumia vigezo gani kuiweka ligi namba 5 kwa ubora Afrika.
Mojawapo ya adhabu ziluzotangazwa na bodi ya ligi ni adhabu ya kufungiwa shabiki wa yanga anayeandamana na benchi la...
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema kuna timu waliwahi kung'oa viti, kitendo kile sijasahau na upelelezi unaendelea.
Clatous Chama alimkuta Emmanuel Okwi “EO7” Simba Sports akiwa tayari ana ufalme wake ndani ya nyoyo za mashabiki. Wakati Emmanuel Okwi anaondoka Simba, alimwachia Clatous Chama “kofia ya ufalme”...
Kufungwa ni Moja ya tukio muhimu katika football
Ndo maana watu wengi duniani hupenda mchezo huu Kwa kuwa hautabiliki na mara nyingi Huwa na matokeo ya kushangaza
1. Viongozi msimpe lawama yoyote...
Leo mida ya saa 11 jioni, viwanja vya Wembley London, manguli wawili Chelsea na Manchester City wanakutana katika fainali za FA cup.
Tukutane hapa kwa live updates!
Kocha Pep Guardiola...
AP | May 17, 2012 12:38:29
ARUSHA, Tanzania (AP) Former
Rwanda soccer captain Patrick
Mafisango has died in a car crash in
Tanzania. He was 32. Mafisango's death early Thursday was...
Chelsea Football Club is delighted to announce the appointment of Xabi Alonso as Manager of the men’s team.
The Spaniard will begin his role on July 1, 2026, having agreed a four‑year contract at...
Klabu ya Yanga leo imesaini mkataba na Mfadhili na Mdhamini wao Ghalib Said Mohamed wa ujenzi wa uwanja wao wa mpira
Uwanja huo wa Yanga utamilikiwa kwa 50% na klabu ya Yanga na 50% na GSM...
Kwa mara ya kwanza timu ya Yanga imepoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2025/26 mbele ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Airtel, Singida, leo Mei 13, 2026.
#########
Yanga yupo...
Ni mara yatatu ama siyo ya nne namuona golikipa.wa yanga akisharuhusu TU goli bas kwake hapo mech imeisha kwa upande wake atajivunja na na golikipa mwingne kuingia
Nadhan huyu yupo kwa ajil ya...
Kuna hujuma za chinichini Yanga anafanyiwa ili kusudi asibebe kombe msimu huu maana walishaona ligi imepoteza mvuto mapato yanayopatikana ni hafifu hivyo wanaihujumu Yanga kimakusudi angalau...
Licha ya kuwa timu ngumu inapocheza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa FC imekubali kupoteza kwa magoli 3-0 dhidi ya Simba ambayo imeendelea kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.