technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,642
- 58,383
Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza
Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu
Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti
German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu.
Muda huu nipo nawaangalia spain utadhani ni Tunisia iliyochangamka.
France nayo baada ya kufunga na Ivory coast kwenye game ya kirafiki niliona kabisa timu hamna.
Imagine Marekani eti anampiga Paraguay chuma 4
Japan anapiga mpira mwingi dhidi ya uholanzi
Moroco anawafanya Brazil watafute mpira kwa torch?
Mwaka huu timu kubwa zote mbovu?
Nimeikumbuka Ile Italy ya 2006!
Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu
Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti
German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu.
Muda huu nipo nawaangalia spain utadhani ni Tunisia iliyochangamka.
France nayo baada ya kufunga na Ivory coast kwenye game ya kirafiki niliona kabisa timu hamna.
Imagine Marekani eti anampiga Paraguay chuma 4
Japan anapiga mpira mwingi dhidi ya uholanzi
Moroco anawafanya Brazil watafute mpira kwa torch?
Mwaka huu timu kubwa zote mbovu?
Nimeikumbuka Ile Italy ya 2006!