Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Timu ya taifa ya Morocco anasonga mbele katika hatua inayofuata baada ya kumuondoa Uholanzi kwa mikwaju ya penati 3 kwa 2 Morocco linemekuwa taifa la kwanza kutoka Afrika kusongea hatua nyingine...
1 Reactions
28 Replies
473 Views
Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️ Magoli matatu si mchezo! Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama...
17 Reactions
136 Replies
1K Views
Karia maneno yamekuwa mengi sana embu fanyeni kweli basi maana kuna kitimu kimesema wamekosa ubingwa kwa sababu ya waamuzi ================ RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...
1 Reactions
1 Replies
131 Views
Ukisikia wema na uungwana kwenye mpira ni huu. Hongera kwa kuonyesha upendo kwake ===== Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi (Mwenye kanzu nyeusi), akiongoza dua, kumuombea Mchezaji wa...
2 Reactions
9 Replies
313 Views
Miaka ya nyuma kidogo Mtibwa ilikuwa kiwanda cha wacezaji wakubwa, sasa hivi imebaki kuwa ya kupanda na kushuka
2 Reactions
19 Replies
289 Views
England wanatarajia kuonyesha kiwango bora zaidi wanapoanza hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026, wakisafiri hadi jijini Atlanta kukabiliana na DR Congo katika mchezo wa hatua ya 32 bora. Licha...
2 Reactions
89 Replies
1K Views
Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na...
2 Reactions
7 Replies
237 Views
Spain na Austria Wakutana Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026 Mabingwa wa Ulaya, Hispania, watachuana na Austria katika mchezo wa hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 utakaopigwa jijini Los...
0 Reactions
2 Replies
116 Views
Shabiki wa Simba Pacha ameshauri viongozi wake wakamuombe GSM astaafu ili waweze kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC. #ScopeMedia Je wanasimba wameishiwa mbinu zote za kubeba ubingwa Hadi kutaka...
0 Reactions
14 Replies
154 Views
Baada ya kufanya research Kwa muda mrefu nimekuja ku conclude kuwa hakuna timu rahisi kuiongoza kama Simba since mashabiki ni (mbumbumbu) sorry nmekosa tafsiri sahihi Mangungu anahojiwa baada ya...
6 Reactions
16 Replies
301 Views
Leo majira ya saa kumi kamili Mnyaama ataenda kummalizia KMC hasira zote za kukosa ubingwa msimu huu
2 Reactions
22 Replies
450 Views
Kuna matches kadhaa nliona kuna teams zimetumwa kuumiza wachezaji wa Mikia. Zipo wala si suala la kubishana na nlisema tusifurahie. Tusifike huko. Kuna siku itatokea kwetu. Leo imetokea. Faulo...
6 Reactions
60 Replies
1K Views
  • Redirect
Ulishaona wapi, mchezaji wa Afrika atajituma kuifunga nchi ya Ulaya ambayo wao hao wachezaji wa kiafrika wanapata ugali wao. Kitakachotokea ni kuchimbwq biti na kuuza match tu. Hatuwalaumu...
2 Reactions
Replies
Views
Canada hawana mpira wa maana wamatumbi wakikaza na kuacha papara! Mechi saa nne usiku.
8 Reactions
54 Replies
840 Views
Ivory Coast na Norway Wakutana kwa Mara ya Kwanza Hatua ya Mtoano ya Kombe la Dunia 2026 Timu mbili ambazo hazina uzoefu mkubwa katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia, Ivory Coast na Norway...
5 Reactions
26 Replies
414 Views
Wachezaji wa Pamba Jiji FC wametishia kususia mchezo wao wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union wa Juni 30, 2026, kutokana na kile walichodai kuwa ni kucheleweshewa malipo ya...
2 Reactions
6 Replies
341 Views
Kuwezeshwa kwa wanawake hapa inamaanisha wanawake kupewa kipaumbele kwenye elimu, ajira, utawala, pia mabadiliko ya sheria, pamoja na mabadiliko ya kiutamaduni Tafiti zinaonyesha kuwamkeuwa na...
2 Reactions
9 Replies
149 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefafanua ukweli kuhusu madai ya wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC kutolipwa mishahara yao ya miezi mitatu na tetesi za wao kugoma kuingia uwanjani. Hoja ya...
5 Reactions
20 Replies
425 Views
Kama una mtoto, mnunulie pool table mfundishe kucheza umnoe kila siku, hadi anakuja kufikisha miaka 18 anakua amebobea, anakua unbeaten ambapo kwa uhakika atakuwa GOAT wa pool table. Baada ya...
12 Reactions
24 Replies
459 Views
Back
Top Bottom