Timu ya taifa ya Morocco anasonga mbele katika hatua inayofuata baada ya kumuondoa Uholanzi kwa mikwaju ya penati 3 kwa 2
Morocco linemekuwa taifa la kwanza kutoka Afrika kusongea hatua nyingine...
Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️
Magoli matatu si mchezo!
Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama...
Karia maneno yamekuwa mengi sana embu fanyeni kweli basi maana kuna kitimu kimesema wamekosa ubingwa kwa sababu ya waamuzi
================
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...
Ukisikia wema na uungwana kwenye mpira ni huu. Hongera kwa kuonyesha upendo kwake
=====
Mchezaji wa JKT Tanzania FC, Hassan Wahabi (Mwenye kanzu nyeusi), akiongoza dua, kumuombea Mchezaji wa...
England wanatarajia kuonyesha kiwango bora zaidi wanapoanza hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026, wakisafiri hadi jijini Atlanta kukabiliana na DR Congo katika mchezo wa hatua ya 32 bora.
Licha...
Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe
Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na...
Spain na Austria Wakutana Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026
Mabingwa wa Ulaya, Hispania, watachuana na Austria katika mchezo wa hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 utakaopigwa jijini Los...
Shabiki wa Simba Pacha ameshauri viongozi wake wakamuombe GSM astaafu ili waweze kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya NBC.
#ScopeMedia
Je wanasimba wameishiwa mbinu zote za kubeba ubingwa Hadi kutaka...
Baada ya kufanya research Kwa muda mrefu nimekuja ku conclude kuwa hakuna timu rahisi kuiongoza kama Simba since mashabiki ni (mbumbumbu) sorry nmekosa tafsiri sahihi
Mangungu anahojiwa baada ya...
Kuna matches kadhaa nliona kuna teams zimetumwa kuumiza wachezaji wa Mikia. Zipo wala si suala la kubishana na nlisema tusifurahie. Tusifike huko. Kuna siku itatokea kwetu.
Leo imetokea. Faulo...
Ulishaona wapi, mchezaji wa Afrika atajituma kuifunga nchi ya Ulaya ambayo wao hao wachezaji wa kiafrika wanapata ugali wao.
Kitakachotokea ni kuchimbwq biti na kuuza match tu.
Hatuwalaumu...
Ivory Coast na Norway Wakutana kwa Mara ya Kwanza Hatua ya Mtoano ya Kombe la Dunia 2026
Timu mbili ambazo hazina uzoefu mkubwa katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia, Ivory Coast na Norway...
Wachezaji wa Pamba Jiji FC wametishia kususia mchezo wao wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union wa Juni 30, 2026, kutokana na kile walichodai kuwa ni kucheleweshewa malipo ya...
Kuwezeshwa kwa wanawake hapa inamaanisha wanawake kupewa kipaumbele kwenye elimu, ajira, utawala, pia mabadiliko ya sheria, pamoja na mabadiliko ya kiutamaduni
Tafiti zinaonyesha kuwamkeuwa na...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefafanua ukweli kuhusu madai ya wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC kutolipwa mishahara yao ya miezi mitatu na tetesi za wao kugoma kuingia uwanjani.
Hoja ya...
Kama una mtoto, mnunulie pool table mfundishe kucheza umnoe kila siku, hadi anakuja kufikisha miaka 18 anakua amebobea, anakua unbeaten ambapo kwa uhakika atakuwa GOAT wa pool table.
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.