Kuwezeshwa kwa wanawake hapa inamaanisha wanawake kupewa kipaumbele kwenye elimu, ajira, utawala, pia mabadiliko ya sheria, pamoja na mabadiliko ya kiutamaduni
Tafiti zinaonyesha kuwamkeuwa na...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefafanua ukweli kuhusu madai ya wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC kutolipwa mishahara yao ya miezi mitatu na tetesi za wao kugoma kuingia uwanjani.
Hoja ya...
Kama una mtoto, mnunulie pool table mfundishe kucheza umnoe kila siku, hadi anakuja kufikisha miaka 18 anakua amebobea, anakua unbeaten ambapo kwa uhakika atakuwa GOAT wa pool table.
Baada ya...
Hii imeingia kwenye historia na inaonesha Yanga ina uwezo mkubwa wa ku-scout Wachezaji wenye vipaji.
Hongera Sana kwa Mayelle
Soma Pia: Messi avunja rekodi mbili za Klose Kombe la Dunia
Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu.
Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za...
Uongozi wa JKT Tanzania FC umetoa taarifa kwa umma ukieleza kusikitishwa na tukio la kuumia kwa kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, baada ya kugongana na mchezaji wa JKT Tanzania, Hassan Wahabi...
Baada ya kukosa ubingwa kwa mara ya tano mfululizo, Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa Simba SC amesema; "Kukiwa na mazingira ya kiushindani na timu zote 16 zinazoshiriki Ligi Kuu zikitendewa kwa...
Timu ya taifa ya mpira Brazil ina mashabiki wengi sana wakereketwa nchini Bangladesh.
Kwenye Video hapo chini wabangladeshi waliwehuka na kushangilia kwa kishindo goli la kusawazisha lililofungwa...
Wakuu kwema lakini?
Nataka nicheki game la Morocco na wazungu full game, acha pes. Ni really yenyewe! Naombeni mnisaidie kwa hilo. You tube kila nikifungua nakutana na clip not really
Morocco...
Mchezaji tegemezi wa club ya yanga africa amepata majeraha makubwa baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa tim pinzani leo na kusabisha mguu kuvunjika na kukosa sherehe za ubingwa
POLENI WANA YANGA
Yanga wamebeba tena ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa mara 5 mfululizo
Ambapo msimu huu wa 2025/ 2026 ilionekana kama kutobeba ubingwa huu lakini wameonyesha ubabe wao tena
#####
Vinara wa ligi kuu...
#GGMU
Wana MAN UTD, kwa jinsi inavyoonekana tushawapoteza tonali, mateus fernandes, elliot anderson. Unafikiri gani tunapaswa kumfukuzia sasa hivi kwa bidii
Ni kiungo yupi anafaa sasa wa kuchukua?
"Kama goli hilo la Ujerumani limekataliwa na VAR, basi Arsenal isingetakiwa kutwaa ubingwa wa England (Premier League). Asilimia 60 ya magoli waliyofunga yalikuwa ya aina hiyo.”
Juni 30, 2026...
Timu kubwa nchini Tanzania maaruf kama Young African imeendeleaa kutetea ubingwa mara 5 mfululizo huku watani zake wakiendelea kuvurugana wakimtupia Mangungu kwa kushindwa kuiwezesha timu ya Simba...
Baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya mabao 1-1, timu hizo zilicheza dakika 30 za nyongeza bila kupata mshindi. Hatimaye mshindi alipatikana kupitia mikwaju ya penalti, ambapo...
Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi...
Ni jambo la ajabu, Zanzibar waba ligi yao, chama chao cha soka, mamlaka yao ya mapato lakini ama kw kujipendekeza kwa wanasiasa au mpango wa mwenyekiti wa bodi ya ligi kulinda maslahi ya Azam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.