Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kuwezeshwa kwa wanawake hapa inamaanisha wanawake kupewa kipaumbele kwenye elimu, ajira, utawala, pia mabadiliko ya sheria, pamoja na mabadiliko ya kiutamaduni Tafiti zinaonyesha kuwamkeuwa na...
2 Reactions
9 Replies
149 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefafanua ukweli kuhusu madai ya wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC kutolipwa mishahara yao ya miezi mitatu na tetesi za wao kugoma kuingia uwanjani. Hoja ya...
5 Reactions
20 Replies
425 Views
Kama una mtoto, mnunulie pool table mfundishe kucheza umnoe kila siku, hadi anakuja kufikisha miaka 18 anakua amebobea, anakua unbeaten ambapo kwa uhakika atakuwa GOAT wa pool table. Baada ya...
12 Reactions
24 Replies
459 Views
Hii imeingia kwenye historia na inaonesha Yanga ina uwezo mkubwa wa ku-scout Wachezaji wenye vipaji. Hongera Sana kwa Mayelle Soma Pia: Messi avunja rekodi mbili za Klose Kombe la Dunia
3 Reactions
14 Replies
417 Views
Tukiweka utaratibu wetu (Siri ya ndani) Kila kombe la dunia kupeleka timu 2 mpya hakika tutaona maajabu. Hili litawezekana tu kwa kuanzia chumbani ndio tuje sebuleni (vilabu hadi timu za...
1 Reactions
5 Replies
103 Views
Uongozi wa JKT Tanzania FC umetoa taarifa kwa umma ukieleza kusikitishwa na tukio la kuumia kwa kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, baada ya kugongana na mchezaji wa JKT Tanzania, Hassan Wahabi...
0 Reactions
3 Replies
339 Views
Pacome kaumizwa,zile picha zinaashiria kitu kibaya,yule mchezaji mwenyewe aliyemuumiza alificha uso wake kwa huzuni na aibu
2 Reactions
10 Replies
349 Views
Baada ya kukosa ubingwa kwa mara ya tano mfululizo, Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa Simba SC amesema; "Kukiwa na mazingira ya kiushindani na timu zote 16 zinazoshiriki Ligi Kuu zikitendewa kwa...
0 Reactions
5 Replies
252 Views
Timu ya taifa ya mpira Brazil ina mashabiki wengi sana wakereketwa nchini Bangladesh. Kwenye Video hapo chini wabangladeshi waliwehuka na kushangilia kwa kishindo goli la kusawazisha lililofungwa...
5 Reactions
13 Replies
315 Views
Wakuu kwema lakini? Nataka nicheki game la Morocco na wazungu full game, acha pes. Ni really yenyewe! Naombeni mnisaidie kwa hilo. You tube kila nikifungua nakutana na clip not really Morocco...
1 Reactions
5 Replies
118 Views
Mchezaji tegemezi wa club ya yanga africa amepata majeraha makubwa baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa tim pinzani leo na kusabisha mguu kuvunjika na kukosa sherehe za ubingwa POLENI WANA YANGA
0 Reactions
1 Replies
192 Views
Mtu anae bet always anakuwa na pressure na msongo wa mawazo Bora hizo buku buku uzichange upate mtaji..ufungue ata genge la kuuza nyanya.
8 Reactions
48 Replies
848 Views
Yanga wamebeba tena ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa mara 5 mfululizo Ambapo msimu huu wa 2025/ 2026 ilionekana kama kutobeba ubingwa huu lakini wameonyesha ubabe wao tena ##### Vinara wa ligi kuu...
2 Reactions
51 Replies
2K Views
#GGMU Wana MAN UTD, kwa jinsi inavyoonekana tushawapoteza tonali, mateus fernandes, elliot anderson. Unafikiri gani tunapaswa kumfukuzia sasa hivi kwa bidii Ni kiungo yupi anafaa sasa wa kuchukua?
1 Reactions
3 Replies
178 Views
"Kama goli hilo la Ujerumani limekataliwa na VAR, basi Arsenal isingetakiwa kutwaa ubingwa wa England (Premier League). Asilimia 60 ya magoli waliyofunga yalikuwa ya aina hiyo.” Juni 30, 2026...
0 Reactions
8 Replies
322 Views
  • Redirect
Timu kubwa nchini Tanzania maaruf kama Young African imeendeleaa kutetea ubingwa mara 5 mfululizo huku watani zake wakiendelea kuvurugana wakimtupia Mangungu kwa kushindwa kuiwezesha timu ya Simba...
0 Reactions
Replies
Views
Baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya mabao 1-1, timu hizo zilicheza dakika 30 za nyongeza bila kupata mshindi. Hatimaye mshindi alipatikana kupitia mikwaju ya penalti, ambapo...
0 Reactions
5 Replies
222 Views
Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Ni jambo la ajabu, Zanzibar waba ligi yao, chama chao cha soka, mamlaka yao ya mapato lakini ama kw kujipendekeza kwa wanasiasa au mpango wa mwenyekiti wa bodi ya ligi kulinda maslahi ya Azam...
3 Reactions
30 Replies
644 Views
Back
Top Bottom