Wote ni shuga, tabia ya sukari ni kupanda na kushukaImepanda Kagera Sugar, Mtibwa imeshuka! Msimu uliopita Kagera Sugar ilishuka, Mtibwa ikapanda! Hii kitu sijui imekaaje!
Sahihi kabisa, wajikite kusajili vizuri na kutoa maslahi mazuri kwa wachezaji ili waweze kubakisha baadhi ya talent na waweze kucompete kiushindani lasivyo watakuwa wanapanda na kushuka kila sikuTobias Kifaru na Fimbo Butala nawasihi muache kuucheza mpira wa miguu kwa mdomo. Mpira uchezwa dimbani!
Mtibwa ni miongoni mwa vilabu ninavyvioenda na kushaka kwake kimeniuma mono. Miaka ya nyuma walikuwa wanaibua wachezaji wakubwa mno hapa nchini.Sahihi kabisa, wajikite kusajili vizuri na kutoa maslahi mazuri kwa wachezaji ili waweze kubakisha baadhi ya talent na waweze kucompete kiushindani lasivyo watakuwa wanapanda na kushuka kila siku
Kabisa mkuu kina Mbwana Samatta, Kassim Issa, Shaban Nditi, Henry Joseph, Abdulhalim Humoud, Kelvin Sabato, Ladack Chasambi na wengineo wameibuliwa hapa imetoa vipaji kweli kweliMtibwa ni miongoni mwa vilabu ninavyvioenda na kushaka kwake kimeniuma mono. Miaka ya nyuma walikuwa wanaibua wachezaji wakubwa mno hapa nchini.
Ile mtibwa iliyotwaa ubingwa wa Tanzania mara mbili mfululizo chini ya kocha Shungwa ilikuwa noma sana.Kabisa mkuu kina Mbwana Samatta, Kassim Issa, Shaban Nditi, Henry Joseph, Abdulhalim Humoud, Kelvin Sabato, Ladack Chasambi na wengineo wameibuliwa hapa imetoa vipaji kweli kweli
Ni John SimkokoIle mtibwa iliyotwaa ubingwa wa Tanzania mara mbili mfululizo chini ya kocha Shungwa ilikuwa noma sana.
Asante mkuu Kwa kunikumbusha. Nakumbuka akina Musa Mgosi na shaaban Nditi walitimkia Simba mwanzoni mwa miaka ya 2000.Ni John Simkoko
Hivi mgosi hakutokea Jkt Tanzania?Asante mkuu Kwa kunikumbusha. Nakumbuka akina Musa Mgosi na shaaban Nditi walitimkia Simba mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Alitoka Mtibwa. Kama alikwenda JKT Ruvu, basi itakuwa baada ya kutoka Simba, japo Sina kumbukumbu nzuri.Hivi mgosi hakutokea Jkt Tanzania?
Ooh basi kumbukumbu zilikuwa hazijakaa vizuri ila kweli itoshe kusema Mtibwa kilikuwa chuo cha vipaji haswaAlitoka Mtibwa. Kama alikwenda JKT Ruvu, basi itakuwa baada ya kutoka Simba, japo Sina kumbukumbu nzuri.
Mtibwa ilikuwa 🔥.Ooh basi kumbukumbu zilikuwa hazijakaa vizuri ila kweli itoshe kusema Mtibwa kilikuwa chuo cha vipaji haswa