Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya mabao 1-1, timu hizo zilicheza dakika 30 za nyongeza bila kupata mshindi. Hatimaye mshindi alipatikana kupitia mikwaju ya penalti, ambapo...
0 Reactions
5 Replies
222 Views
Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Ni jambo la ajabu, Zanzibar waba ligi yao, chama chao cha soka, mamlaka yao ya mapato lakini ama kw kujipendekeza kwa wanasiasa au mpango wa mwenyekiti wa bodi ya ligi kulinda maslahi ya Azam...
3 Reactions
30 Replies
644 Views
Timu zetu bado sana hasa upande wa kufunga magoli Ukiangalia kwa undani timu zilizoshinda mechi zote tatu za makundi lazima mmojawapo acheze fainali kama sio wawili. Hapa 16 bora zangu...
1 Reactions
7 Replies
251 Views
Taja game unalolipenda umpate mwana hapa mwenzio Kichwa hakina miguu,tuenedelee tulipoishia…
0 Reactions
2 Replies
96 Views
  • Featured
Rais wa Shirikisho la Soka la Saudi Arabia, Yasser Al Mashal ametangaza kujiuzulu baada ya taifa hilo kutolewa katika hatua ya makundi ya Kombe la Dunia. Al Mashal ameeleza kuwa Saudia kutofuzu...
0 Reactions
15 Replies
446 Views
Hii video ya kufanya mazoezi kizembe ni kama dongo kwa ronaldo baada ya kuonesha high class game jana. Naona mwiba umekuingia messi😂 Tunajua una talent, but some people are made different...
9 Reactions
140 Replies
2K Views
Cristiano Ronaldo ameifikisha jumla ya mabao 975 katika maisha yake ya soka akiwa na umri wa miaka 41, akibakiza mabao 25 pekee kufikia rekodi ya kipekee ya mabao 1,000 katika taaluma yake...
3 Reactions
8 Replies
385 Views
Rekodi na hatua za kihistoria zilizowekwa baada ya hatua ya makundi ya Kombe la Dunia 2026 Kwa mujibu wa takwimu na taarifa za FIFA zilizotolewa mara baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi...
0 Reactions
3 Replies
278 Views
Aisee huyu jamaa ameshindikana! Lionel Messi leo ameandika historia mpya baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kabisa kufunga kwenye mechi 7 mfululizo za World Cup. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa...
13 Reactions
47 Replies
805 Views
Mpango wetu ulienda kama ambavyo tulipanga. Scratch my back and i will scratch yours. Azam atufunge Shirikisho apite akapambane na Simba akachukue kombe akashiriki Kimataifa. Maana amewekeza...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Fei Toto ameanza mwanzoni mwa msimu wa ligi Ila Allan okello ameanza katikati ya ligi but ana magoli 14 huku Toto akiwa na magoli 15 kwa mifano hai Nani bora kati ya hao
1 Reactions
9 Replies
319 Views
Tuseme kwamba Yanga inaenda kutoa mchezaji bora wa kimataifa soon. Baada ya kombe la duniaa atagombaniwa sana.
2 Reactions
21 Replies
454 Views
Kombe la Dunia 2026 limeonyesha kuwa soka la Afrika limefikia hatua mpya. Mataifa mengi ya Afrika yamefanikiwa kuvuka hatua ya makundi na kuthibitisha kuwa yanaweza kushindana na vigogo wa soka...
11 Reactions
43 Replies
828 Views
Croatia na Ghana Zapambana Kutafuta Nafasi ya Kuongoza Kundi L Kombe la Dunia 2026 Croatia na Ghana zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kujiweka katika nafasi nzuri ya kuongoza Kundi L la Kombe...
3 Reactions
7 Replies
185 Views
Portugal Yapambana na Colombia Katika Vita ya Kuongoza Kundi K Kombe la Dunia 2026 Kundi K linaweza kushuhudia matokeo ya kushtua huku moja ya timu zilizokuwa zikipewa nafasi kubwa kabla ya...
1 Reactions
6 Replies
263 Views
Yanga wanashuka dimbani muda huu kucheza mchezo wake wa ligi kuu NBC dhidi ya TRA. Moja ya mchezo mzuri na muhimu kwa Yanga kujihakikishia ubingwa Lakini pia hata TRA nao wanataka kumaliza top 4...
4 Reactions
15 Replies
584 Views
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
34 Reactions
943 Replies
72K Views
Morocco naona anafunzu kwenda hatua ya 32 bora ya Kombe la dunia 2026, labda wajisaliti wenyewe ======= Suluhi ya 1-1 ambayo Morocco walipata dhidi ya Brazil kwenye mchezo wa kwanza inamaanisha...
2 Reactions
14 Replies
295 Views
Back
Top Bottom