Baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya mabao 1-1, timu hizo zilicheza dakika 30 za nyongeza bila kupata mshindi. Hatimaye mshindi alipatikana kupitia mikwaju ya penalti, ambapo...
Unatarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia zaidi katika hatua ya 32 bora kwenye Kombe la Dunia la 2026 unafanyika mjini Houston, ambapo mabingwa mara tano Brazil watachuana na Japan, timu ambayo haijawahi...
Ni jambo la ajabu, Zanzibar waba ligi yao, chama chao cha soka, mamlaka yao ya mapato lakini ama kw kujipendekeza kwa wanasiasa au mpango wa mwenyekiti wa bodi ya ligi kulinda maslahi ya Azam...
Timu zetu bado sana hasa upande wa kufunga magoli
Ukiangalia kwa undani timu zilizoshinda mechi zote tatu za makundi lazima mmojawapo acheze fainali kama sio wawili.
Hapa 16 bora zangu...
Rais wa Shirikisho la Soka la Saudi Arabia, Yasser Al Mashal ametangaza kujiuzulu baada ya taifa hilo kutolewa katika hatua ya makundi ya Kombe la Dunia.
Al Mashal ameeleza kuwa Saudia kutofuzu...
Hii video ya kufanya mazoezi kizembe ni kama dongo kwa ronaldo baada ya kuonesha high class game jana.
Naona mwiba umekuingia messi😂
Tunajua una talent, but some people are made different...
Cristiano Ronaldo ameifikisha jumla ya mabao 975 katika maisha yake ya soka akiwa na umri wa miaka 41, akibakiza mabao 25 pekee kufikia rekodi ya kipekee ya mabao 1,000 katika taaluma yake...
Rekodi na hatua za kihistoria zilizowekwa baada ya hatua ya makundi ya Kombe la Dunia 2026
Kwa mujibu wa takwimu na taarifa za FIFA zilizotolewa mara baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi...
Aisee huyu jamaa ameshindikana!
Lionel Messi leo ameandika historia mpya baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kabisa kufunga kwenye mechi 7 mfululizo za World Cup.
Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa...
Mpango wetu ulienda kama ambavyo tulipanga. Scratch my back and i will scratch yours.
Azam atufunge Shirikisho apite akapambane na Simba akachukue kombe akashiriki Kimataifa. Maana amewekeza...
Fei Toto ameanza mwanzoni mwa msimu wa ligi Ila Allan okello ameanza katikati ya ligi but ana magoli 14 huku Toto akiwa na magoli 15 kwa mifano hai Nani bora kati ya hao
Kombe la Dunia 2026 limeonyesha kuwa soka la Afrika limefikia hatua mpya. Mataifa mengi ya Afrika yamefanikiwa kuvuka hatua ya makundi na kuthibitisha kuwa yanaweza kushindana na vigogo wa soka...
Croatia na Ghana Zapambana Kutafuta Nafasi ya Kuongoza Kundi L Kombe la Dunia 2026
Croatia na Ghana zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kujiweka katika nafasi nzuri ya kuongoza Kundi L la Kombe...
Portugal Yapambana na Colombia Katika Vita ya Kuongoza Kundi K Kombe la Dunia 2026
Kundi K linaweza kushuhudia matokeo ya kushtua huku moja ya timu zilizokuwa zikipewa nafasi kubwa kabla ya...
Yanga wanashuka dimbani muda huu kucheza mchezo wake wa ligi kuu NBC dhidi ya TRA.
Moja ya mchezo mzuri na muhimu kwa Yanga kujihakikishia ubingwa
Lakini pia hata TRA nao wanataka kumaliza top 4...
Morocco naona anafunzu kwenda hatua ya 32 bora ya Kombe la dunia 2026, labda wajisaliti wenyewe
=======
Suluhi ya 1-1 ambayo Morocco walipata dhidi ya Brazil kwenye mchezo wa kwanza inamaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.