Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Featured
Dada yake Cristiano Ronaldo, Katia Aveiro, amesema kuwa nahodha huyo wa Ureno anakaribia kuaga rasmi timu ya taifa baada ya Kombe la Dunia 2026. Akizungumza na Sport TV, Katia amesema: “Kwa...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Mashabiki wa Simba FC Wachambulia Jengo la Yanga FC kwa Mawe. Ni wakati wa Paredi
2 Reactions
21 Replies
617 Views
Hatuna cha kuwapq Azam Tv, bali tunasema Asanteni sana kwa kutuwezesha kufuatilia mechi zote. Hakika mmewafanya watanzania na wananchi wote wa Afrika Mashariki na kati wanafurahia huduma ya Azam...
0 Reactions
12 Replies
216 Views
Nilichoshuhudia leo parade ya Simba Sports nimejiuliza sana kwanini hamasa ya mashabiki wa Simba ni kubwa mno by far! Lakini nikamkumbuka yule mtu aliyeijenga hii na haya ni matunda yake! Haji...
3 Reactions
4 Replies
248 Views
"Pesa nyingi tunawekeza Azam. Nyingi sana lakini hamna la maana. Mashabiki wa Azam ni mashabiki wa Simba na Yanga. Huwa wanakuja kwetu kwa Mkopo na pia wanajua wanalipwa hawana moyo wa upendo...
2 Reactions
12 Replies
381 Views
Nlisema as long as Samia ni Rais basi Yanga tuta enjoy Misimu yote Ubingwa. Maana hilo lipo ndani ya uwezo wetu.
0 Reactions
5 Replies
124 Views
Na kwenye mechi za kombe la dunia tunaona kabisa wamiliki wa jamii hii ya Siri ni watu weupe, angalia timu za watu weupe/wazungu zinavyoshinda mechi zake. Timu ya Africa hata kama iliongoza kwa...
7 Reactions
103 Replies
1K Views
Moja kwa moja .. Ukipita kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa post yeyote inayonumuhusu mshambuliaji Kylian Mbappe lazima tutakutana na Memes za kuchekesha zinazomuhusisha na udikteta . Hayo...
2 Reactions
21 Replies
526 Views
Yanga ni Bingwa tena. Lakini sioni kama watu wana furaha. Watu hawana furaha. Wana unyonge na wamepoa sana. Sielewi tatizo ni nini ndugu zanguni wana Jangwani. Kuna nini hakipo sawa? Hebu...
4 Reactions
13 Replies
241 Views
Mapacha wanaofanana, Hossam na Ibrahim Hassan, wanaandika ukurasa mpya wa kihistoria katika soka la Misri. Sasa wakiwa kama kocha mkuu na mkurugenzi wa timu, ndugu hawa wameiongoza timu ya taifa...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji wenza, Canada, hivyo inasubiri mashindi wa mchezo wa Ufaransa...
0 Reactions
21 Replies
554 Views
Kati ya Timu nne zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za CAF ni Azamu tu ndiyo hadi sasa hivi haina tuzo yoyote. Angalia (1) YANGA: Community Shield, Mapinduzi, na NBC Premier (2) SIMBA...
2 Reactions
5 Replies
209 Views
Mwandishi wa Habari: "Mlinda mlango wa Cape Verde amekunyima mabao mengi sana leo..." Messi: "Nilikuwa na wakati mgumu kidogo baada ya majaribio mengi kugonga mwamba, lakini nilifanikiwa kupata...
5 Reactions
4 Replies
297 Views
  • Redirect
My Take Naunga mkono wazo la Tajiri kujitoa ligi kuu ya NBC huku Bara Kwa sababu imejaa uonezi wa kuzipendelea Simba na Yanga. Bahati mbaya mambo ya hovyo kuanzia rushwa,ufisadi,ubinafsi na...
1 Reactions
Replies
Views
Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB ni Derby ya Mzizima Simba SC dhidi ya AzamFC Mtanange huu unapigwa Jumamosi hii, Julai 04 katika dimba la Gombani Pemba, Saa 11:00 Jioni. Mechi 5 za...
4 Reactions
56 Replies
2K Views
Nilisema na nasema tena. Simba haimfungi Azam Zanzibar. Kupeleka kule ni mkakati Maalum Azam kwao ni Zanzibar kama hamjui. Nimekaa hapa
4 Reactions
30 Replies
469 Views
Canada, Brazil, Spain to score three goals first half imetick. Bado Portugal. Nishaurini wawekezaji.
16 Reactions
352 Replies
10K Views
Cabo Verde imevutia wengi kwa kiwango chake bora kwenye Kombe la Dunia 2026. FIFA inaweza kudhamini mechi ya kirafiki kati ya bingwa wa dunia na Cabo Verde kama heshima kwa safari yao ya kuvutia...
2 Reactions
9 Replies
191 Views
Cape Verde wapo kazini! Argentina wakiaga mashindano leo sitashangaa! Je wewe unasemaje?
7 Reactions
77 Replies
1K Views
Back
Top Bottom