Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Habari wakuu, hii michuano ya kombe la dunia hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali. Hawa Morocco wameotea tu ila kiama cha timu za Afrika chaja round 2. Nipo Pape mwanaa...
2 Reactions
21 Replies
638 Views
Argentina vs Cape Verde: Mabingwa Watetezi Wakutana na Wababe Wapya wa Mashindano Jimbo la Florida litakuwa mwenyeji wa mchezo wa hatua ya 32 bora wa Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi...
2 Reactions
39 Replies
911 Views
Bingwa atakuwa Croatia. Mimi sio mchawi. Sio mtabiri. Sio Ostaz. Sio Mtume na Nabii. Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo...
11 Reactions
96 Replies
2K Views
Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam umeondolewa katika orodha ya viwanja vilivyoidhinishwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutokana na kuendelea kwa matengenezo makubwa yanayoandaliwa...
6 Reactions
16 Replies
474 Views
Ligi ya TFF ina timu ambazo zimethibitika hata CAF kuwa zinafanya uchawi michezoni hadi zikapewa adhabu na CAF. TFF wanajua kuwa kuna timu ziliomba uongozi wa uwanja wa taifa iwaruhusu wafanye...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
INASIKITISHA SANA. Mimi kama mdau wa riadha ninasikitishwa na mashindano ya taifa ya riadha kufanyikia kwenye uwanja wenye njia za kukimbilia za vumbi badala ya tartan kama za uwanja wa taifa. Kwa...
1 Reactions
6 Replies
144 Views
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani. Ni wazi Rais Donald J. Trump...
1 Reactions
4 Replies
169 Views
This kid kila siku nikimuangalia nabaki mdomo wazi tu the way he is toying defenders Vission + composure 💯 Akiamua kuchukua kijiji anachukua vizuri skills yupo 🔥 Anaponichosha anaweza piga...
20 Reactions
198 Replies
3K Views
Australia vs Misri: Vita ya Kutafuta Ushindi wa Kwanza Hatua ya Mtoano Kombe la Dunia 2026 Uwanja wa Dallas Stadium utakuwa mwenyeji wa pambano la hatua ya 32 bora kati ya Australia na Misri...
2 Reactions
19 Replies
343 Views
Nadharia mpya mtandaoni inadai kuwa mshindi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 anaweza kutabiriwa kupitia rangi rasmi za nembo ya mashindano. Mashabiki wanaamini rangi hizo zinaweza kutoa ishara ya...
1 Reactions
7 Replies
406 Views
Guess who is he 🤔 Iconic Wall
1 Reactions
6 Replies
131 Views
Naanza kuamini, kama mechi za mpira wa miguu zingekuwa zinamalizika dakika ya 85, Afrika ingekuwa imefanikiwa sana kwenye kombe hili la Dunia, na mashabiki wetu wasingekuwa na presha ya kupanda...
2 Reactions
8 Replies
291 Views
Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥 CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr...
14 Reactions
64 Replies
872 Views
Paul Scholes ameibua mjadala mkubwa baada ya kumchana Cristiano Ronaldo kufuatia mwanzo mbovu wa Portugal kwenye World Cup. Akiongea kwenye podcast ya The Good, The Bad & The Football, gwiji huyo...
12 Reactions
77 Replies
1K Views
Kama unakubaliana na huu utabiri sema aimen! adriz de mbusii
3 Reactions
4 Replies
110 Views
Hiki ni kikosi cha Yanga miaka ya 2000. Unawajua wangapi kwa majina, wataje tuone…
1 Reactions
0 Replies
117 Views
Aliyekuwa mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Prince Dube amejiunga na klabu ya Hardrock FC ya nchini kwao Zimbabwe. Baada ya kuondoka kwa Dube sasa Yanga watalazimika Kuingia Sokoni kutafuta mbadala...
2 Reactions
8 Replies
445 Views
Wadau wa michezo habari zenu. Nauliza kwa hapa Dar ni wapi naweza kupata mashine ya kumfanyia mazoezi ya kukimbia au kutembea kama zile zinazopatikana gym. Naomba kuelekezwa mahali na duka...
0 Reactions
6 Replies
120 Views
Mwaka 2012 nikiwa kidato cha nne nilitumia likizo yangu mkoano mwanza ..Uko nilipata fursa ya kushiriki mashindano ya mpira wa miguu ya Jimbo cup yaliokua yakiandaliwa na mbunge wa ilemela kwa...
1 Reactions
4 Replies
201 Views
Back
Top Bottom