Habari wakuu, hii michuano ya kombe la dunia hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali. Hawa Morocco wameotea tu ila kiama cha timu za Afrika chaja round 2.
Nipo Pape mwanaa...
Argentina vs Cape Verde: Mabingwa Watetezi Wakutana na Wababe Wapya wa Mashindano
Jimbo la Florida litakuwa mwenyeji wa mchezo wa hatua ya 32 bora wa Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi...
Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam umeondolewa katika orodha ya viwanja vilivyoidhinishwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutokana na kuendelea kwa matengenezo makubwa yanayoandaliwa...
Ligi ya TFF ina timu ambazo zimethibitika hata CAF kuwa zinafanya uchawi michezoni hadi zikapewa adhabu na CAF. TFF wanajua kuwa kuna timu ziliomba uongozi wa uwanja wa taifa iwaruhusu wafanye...
INASIKITISHA SANA. Mimi kama mdau wa riadha ninasikitishwa na mashindano ya taifa ya riadha kufanyikia kwenye uwanja wenye njia za kukimbilia za vumbi badala ya tartan kama za uwanja wa taifa. Kwa...
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani.
Ni wazi Rais Donald J. Trump...
This kid kila siku nikimuangalia nabaki mdomo wazi tu the way he is toying defenders
Vission + composure 💯
Akiamua kuchukua kijiji anachukua vizuri skills yupo 🔥
Anaponichosha anaweza piga...
Australia vs Misri: Vita ya Kutafuta Ushindi wa Kwanza Hatua ya Mtoano Kombe la Dunia 2026
Uwanja wa Dallas Stadium utakuwa mwenyeji wa pambano la hatua ya 32 bora kati ya Australia na Misri...
Nadharia mpya mtandaoni inadai kuwa mshindi wa Kombe la Dunia la FIFA 2026 anaweza kutabiriwa kupitia rangi rasmi za nembo ya mashindano. Mashabiki wanaamini rangi hizo zinaweza kutoa ishara ya...
Naanza kuamini, kama mechi za mpira wa miguu zingekuwa zinamalizika dakika ya 85, Afrika ingekuwa imefanikiwa sana kwenye kombe hili la Dunia, na mashabiki wetu wasingekuwa na presha ya kupanda...
Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥
CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr...
Paul Scholes ameibua mjadala mkubwa baada ya kumchana Cristiano Ronaldo kufuatia mwanzo mbovu wa Portugal kwenye World Cup.
Akiongea kwenye podcast ya The Good, The Bad & The Football, gwiji huyo...
Aliyekuwa mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Prince Dube amejiunga na klabu ya Hardrock FC ya nchini kwao Zimbabwe.
Baada ya kuondoka kwa Dube sasa Yanga watalazimika Kuingia Sokoni kutafuta mbadala...
Wadau wa michezo habari zenu.
Nauliza kwa hapa Dar ni wapi naweza kupata mashine ya kumfanyia mazoezi ya kukimbia au kutembea kama zile zinazopatikana gym.
Naomba kuelekezwa mahali na duka...
Mwaka 2012 nikiwa kidato cha nne nilitumia likizo yangu mkoano mwanza ..Uko nilipata fursa ya kushiriki mashindano ya mpira wa miguu ya Jimbo cup yaliokua yakiandaliwa na mbunge wa ilemela kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.