Ili iwejeKila sekunde goliii

Leo majira ya saa kumi kamili Mnyaama ataenda kummalizia KMC hasira zote za kukosa ubingwa msimu huu
Yanga kosa lake ni nini?Simba kahujumiwa sana sana miaka 5 hii,wasipoamua kufanya mapinduzi na kuweka wazi hujuma walizofanyiwa watazidi kuumia.Hujuma na mipango yote zimefanywa kwa ustadi na Yanga kwa mashirikiano na baadhi ya viongozi walio serikalini.
TFF hawana nguvu za kuzuia uhuni ambao umekuwa unafanywa.
Magoli alitaka kuuokoa mpira wa Tanzania,ila aliishia njiani.
Mfano, Kuna timu zilifanya juu chini kuzuia Simba asipate matokeo ya ushindi( Pamba jiji mechi ya kwanza), lakini hiyohiyo ilimkuja ikapigwa goli nyingi na Yanga.
Kuna uhuni wa namna hii sana upo.
Mpira wa bongo umekufa,subirini miaka kadhaa ijayo kuna anguko kubwa sanaaa.
Kwani kakosa au mpaka yanga ashinde?Leo majira ya saa kumi kamili Mnyaama ataenda kummalizia KMC hasira zote za kukosa ubingwa msimu huu
Hatimaye milio imeanza kusikikaSimba kahujumiwa sana sana miaka 5 hii,wasipoamua kufanya mapinduzi na kuweka wazi hujuma walizofanyiwa watazidi kuumia.Hujuma na mipango yote zimefanywa kwa ustadi na Yanga kwa mashirikiano na baadhi ya viongozi walio serikalini.
TFF hawana nguvu za kuzuia uhuni ambao umekuwa unafanywa.
Magoli alitaka kuuokoa mpira wa Tanzania,ila aliishia njiani.
Mfano, Kuna timu zilifanya juu chini kuzuia Simba asipate matokeo ya ushindi( Pamba jiji mechi ya kwanza), lakini hiyohiyo ilimkuja ikapigwa goli nyingi na Yanga.
Kuna uhuni wa namna hii sana upo.
Mpira wa bongo umekufa,subirini miaka kadhaa ijayo kuna anguko kubwa sanaaa.
Tatizo Simba ni viongozi, wangekuwa ni mtibwa au timu nyingine tungewatetea ila viongozi wa Simba wamejaa siasa ndio maana kila mara wanaonewa.Simba kahujumiwa sana sana miaka 5 hii,wasipoamua kufanya mapinduzi na kuweka wazi hujuma walizofanyiwa watazidi kuumia.Hujuma na mipango yote zimefanywa kwa ustadi na Yanga kwa mashirikiano na baadhi ya viongozi walio serikalini.
TFF hawana nguvu za kuzuia uhuni ambao umekuwa unafanywa.
Magoli alitaka kuuokoa mpira wa Tanzania,ila aliishia njiani.
Mfano, Kuna timu zilifanya juu chini kuzuia Simba asipate matokeo ya ushindi( Pamba jiji mechi ya kwanza), lakini hiyohiyo ilimkuja ikapigwa goli nyingi na Yanga.
Kuna uhuni wa namna hii sana upo.
Mpira wa bongo umekufa,subirini miaka kadhaa ijayo kuna anguko kubwa sanaaa.