Ile hadithi ya klabu ya Simba kujenga uwanja wake imeaanza tena leo.
mwenyekiti wa klabu yetu hiyo mheshimiwa mbunge wa kuteuliwa Ismail Aden Rage amesema kamati ya utendaji ya klabu hiyo...
Nduguzanguni, wapenzi wa kabumbu..
Karibu katika ukumbi wenu muupendao ikiwa leo tarehe 15 mwezi wa nane, mwaka 2010, ni siku ile ambapo twakata utepe wa hiki kinyang'anyiro cha ligi bora zaidi...
Nijmegen (Uholanzi) - 13/14-nov-2010: kutakuwepo shindano la kimataifa la mchezo wa bao
Wamejiunga wachezaji ishirini kutoka Uholanzi, Italia, Ujerumani na Ureno.
Post jobs,blogs,videos,sale and look for things on sale in TANZANIA. Home is all free website and you can browse . Everybody can create a free profile and post jobs, real estates,videos, blogs...
Ngugu wapendwa napenda kuwajulisha kuhusu site hii mpya inayoitwa mechizaleo.tk
katika site hii kuna mechi zote zitakazo chezwa leo, time ya mechi hizo na TV itakayo toa mechi hizo.
Kila siku...
Kocha wa Man. United alitetea goli la timu yake dhidi ya Totenhum lililofungwa na Nani katika mazingira ya kutatanisha. Habari kamili iko hapo kwenye link
Sir Alex Ferguson: Heurelho Gomes to...
Washabkiki wa liverpol vipi jamani. najaribu kufauta uzi wa club yenu japo nipate news mbili tatu naona kimya. Au tayari timu imeshuka daraja na washabiki mmeamia timu nyingine.
Fufueni uzi wa...
Wana - Yanga, ahadi hii ya Manji vipi?
Mwandishi wetu
MEI 15 mwaka huu, magazeti mengi katika kurasa za michezo na burudani yalipambwa na vichwa vya habari visemavyo Neema yanukia Yanga...
Alexandria Mills, a soft-spoken 18-year-old, was named the winner in Saturday night's contest in southern China. The tall blonde was a relative surprise winner after speculation focused on other...
Imeripotiwa amefariki huko Dar es salaam Hospitali ya Agakhan. RIP Kocha Mziray
=========
Marehemu Syllersaid Mziray enzi za uhai wake
MMOJA wa makocha wasaidizi wa timu ya Simba, Syllersaid...
Ronaldinho back in Brazil squad
Brazil coach Mano Menezes has handed Ronaldinho a recall to the national side ahead of next month's friendly against Argentina.
Ronaldinho, currently...
Juzi nilikuwa naangalia news bulletin kupitia Star TV, wakati wa kipindi cha michezo wakaonyesha clip ya mechi ya Simba vs Mtibwa wakati wakipeana mikono na mgeni rasmi, cha ajabu ni kwamba Amri...
Ngoma nd'o inataka kuanza..tuone Lebron, Wade na Bosh kama wanaeza ku-gell katika gemu!
Gemu inachezwa TD Waterhouse Garden,Boston.
Lebron fires the 1st basket.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.