babacollins
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 901
- 212
Naamini janja ya Morinho kuvamia ligi na kutawala kwa misimu mitatu na kukimbia akiwa na sifa kedekede janja yake inafikia mwisho pale Hispania.Pengo la pointi linazidi kuongezeka na kibaya zaidi hana uhakika wa kutoka na point atakapakutana na barca so ubingwa wa la liga unamkimbia na anapojitahidi kuukimbiza haukuti.......kweli you can full some people sometime but you cant full all the people all the time.