Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Nikiwa kati ya wafuatiliaji wazuri wa soka la kibongo, nashangaa sana kuona wachezaji wa siku hizi hawapewi majina ya kuwaonesha uwezo wao, ukiondoa John Boko aka Adebayo, sijaona wachezaji wengine wakipewa majina yanayowakaa vema. Katika soka letu la kibongo hadi mwishoni mwa miaka ya 90, kulikuwa kuna wachezaji wana Nick names zinazowakaa kiasi kwamba unaweza kudhani ni jina lake.
Hizi ni miongoni mwa nick nazozikumbuka.
Iddi Pazi Father
Mohamed Mwameja Tanzania One
Said Mwamba Kizota
Salum Kabunda Ninja
Hamis Thobias Gaga Gagarinho
Makumbi Juma Homa ya jiji
Said Mrisho Zicco wa Kilosa
Abdalah Kibadeni King Mputa
Samli Ayoub Beki Mtaarabu
Razak Yusuph Careca
Ally Yusuph Tigana
Mao Mkami Ball dancer
Malota Soma Ball Juggler
Nteze John Rungu
Zamoyoni Mogella Golden Boy
Sanifu lazaro Tingisha
Said Sued Scud
John Makelele Zig Zag
Method Mogella Fundi
Hizi ni baadhi tu kati ya nyingi sana ninazozikumbuka. So wadau, kwanini siku hizi hakuna Nick Names kwa wachezaji wetu ? Au ndio tushachoka kabisa hili chandimu letu lenye kila namna na vituko kila kukicha ?
Hizi ni miongoni mwa nick nazozikumbuka.
Iddi Pazi Father
Mohamed Mwameja Tanzania One
Said Mwamba Kizota
Salum Kabunda Ninja
Hamis Thobias Gaga Gagarinho
Makumbi Juma Homa ya jiji
Said Mrisho Zicco wa Kilosa
Abdalah Kibadeni King Mputa
Samli Ayoub Beki Mtaarabu
Razak Yusuph Careca
Ally Yusuph Tigana
Mao Mkami Ball dancer
Malota Soma Ball Juggler
Nteze John Rungu
Zamoyoni Mogella Golden Boy
Sanifu lazaro Tingisha
Said Sued Scud
John Makelele Zig Zag
Method Mogella Fundi
Hizi ni baadhi tu kati ya nyingi sana ninazozikumbuka. So wadau, kwanini siku hizi hakuna Nick Names kwa wachezaji wetu ? Au ndio tushachoka kabisa hili chandimu letu lenye kila namna na vituko kila kukicha ?