Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Kabla ya mechi za leo Jumamosi tarehe 12th Feb, 2011: Msimamo wa ligi upo namna hii:
1. Man Utd - Points 54
2. Arsenal - Points 50 (wamefikaje hapa hawa???)
3. Man City - Points 49
4. Chelsea - Points 44 (kutoka nafasi ya kwanza na sasa kugombania TOP FIVE!)
5. Tottenham - Points 44
6. Liverpool - Points 38
Bado mechi 13 kwa timu hizo except Man City na Liverpool ambao wameshacheza maechi 26 na hao wengine wamecheza mechi 15 tu.
Ingawa tutapata mwanga mzuri baada ya derby match kati ya City na Utd, kwangu mimi naona Chelsea keshapoteza ubingwa. Kama Man Utd akishinda leo, ataanza kuunusa ubingwa kwa ukaribu zaidi
Tujadiri!
Update: Baada ya mechi za leo Jumamosi, 12th Feb, 2011
1. Man Utd - Points 57
2. Arsenal - Points 53 (wamefikaje hapa hawa???)
3. Man City - Points 49
4. Tottenham - Points 47
5. Chelsea - Points 44 (kutoka nafasi ya kwanza na sasa kugombania TOP FIVE!)
6. Liverpool - Points 39
1. Man Utd - Points 54
2. Arsenal - Points 50 (wamefikaje hapa hawa???)
3. Man City - Points 49
4. Chelsea - Points 44 (kutoka nafasi ya kwanza na sasa kugombania TOP FIVE!)
5. Tottenham - Points 44
6. Liverpool - Points 38
Bado mechi 13 kwa timu hizo except Man City na Liverpool ambao wameshacheza maechi 26 na hao wengine wamecheza mechi 15 tu.
Ingawa tutapata mwanga mzuri baada ya derby match kati ya City na Utd, kwangu mimi naona Chelsea keshapoteza ubingwa. Kama Man Utd akishinda leo, ataanza kuunusa ubingwa kwa ukaribu zaidi
Tujadiri!
Update: Baada ya mechi za leo Jumamosi, 12th Feb, 2011
1. Man Utd - Points 57
2. Arsenal - Points 53 (wamefikaje hapa hawa???)
3. Man City - Points 49
4. Tottenham - Points 47
5. Chelsea - Points 44 (kutoka nafasi ya kwanza na sasa kugombania TOP FIVE!)
6. Liverpool - Points 39