Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wakuu wana JF naomba nijulisheni. Je ni kweli kuwa mchezaji wa kwanza aliyevunja mwiko kwa kuhama timu kati ya Simba na Yanga ni Ezekiel Greyson aliyehamia Simba akitokea Yanga?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mambo ndani ya Zurich..Uingereza washapigwa chini!..Duh!!! BBC Sport - Football - World Cup vote live - decision day
0 Reactions
62 Replies
10K Views
Ninawaomba wana JF ikiwa kuna yeyote anayejua matokeo ya mechi kati ya Rwanda na Zanzibar atuwekee hapa. Natanguliza shukurani za dhati. :rofl:
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana Watanzania. Kwa kweli Mkoa wetu wa Kilimanjaro umepoteza dira katika michezo ya aina mbalimbali ikiwemo soka. Toka enzi za USHIRIKA kucheza ligi kuu umepotea kabisa na kuacha vijana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna hili suala la kocha wa Timu ya Taifa kufundisha Kilimanjaro Stars wakati Zanzibar pia kuna timu nyingine. Nadhani kuna haja ya kocha wa Taifa aendelee kubaki kuwa wa Taifa na michuano kama ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MABAO mawili ya mchezaji wa Ethiopia, Shemelles Godo katika kipindi cha kwanza yalitosha kuifungasha Kenya virago kwenye michuano ya Tusker Chalenji baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1, huku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Will you watch it? Myself I can't wait for the drama......
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JUMLA ya wachezaji 26 wamesajiliwa na klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara katika dirisha dogo lililofikia ukomo juzi tayari kwa kuanza mzunguko wa pili unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 15...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Usifikirie bibi yako kuwa mchawi ukaona aibu hata wazungu wachawi na hawaoni aibu!!
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Ndugu zangu wana JF,Huyu Mzee kwa mwendo huu wa kusuasua wa taifa Stars chamoto atakipata na sisi tulivyo tunategemea kushinda muda wote,wenzangu mnaonaje mwenendo wa timu yetu ya Taifa.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa habarini za ukweli naamini wote ni member wa ukweli na uwazi hasa kwenye mtandao huu wetu wenye furaha na kila aina ya madoido duniani..nimeona magazetini kuna habari za usajili mara...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wakuu bado mda mchache sana mtanange uanze hapo Camp Nou kati ya hawa vigogo wa soka hapo spain.
0 Reactions
241 Replies
20K Views
Hakika baada ya Furaha kubwa ya Mvua ya Magoli tuliyoipata kutoka Blackburn jana hali ilikuwa tofauti kwa kufungwa Goli 4 ambazo zimetufanya kelele zote ziishe! Kweli Man U hamjatutendea haki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
If you got time I strongly advice you to watch this.... http://www.bbc.co.uk/i/wfl8t/
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WWE ilipata pigo kubwa wiki iliyopita baada ya John Cena kutimuliwa. Juzi Jumatatu katika ukumbi wa Wells Fargo Centre,Philadelphia,Cena alionekana katikati ya mashabiki akiwa na tiketi yake...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Watanzania ni vema tukampatia ushauri wa bure kocha wetu wa timu ya taifa ili afuate nyayo za Maadam Ritha anavyofanya katika kutafuta vipaji badala ya kutegemea wachezaji waliochwa na MAXIMO. Ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inasemekana timu ya taifa ya tanzania haijawahi kuibuka na ushindi ikiwa inashuhudiwa na rais kikwete kama mtazamaji au mgeni rasmi na kwamba mara zote hizo imekua ikiambulia kichapo au sare...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani nimeiona stars ikicheza na zambia kwa kweli ilinisikitisha kwa kutokuwa na mpango mzuri wa mashambulizi Kwa sasa naiangalia ikicheza na timu dhaifu ya Somali matatizo ni yale yale tunakosa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Three senior Fifa officials who will vote on the 2018 and 2022 World Cup bids took bribes in the 1990s, according to the BBC's Panorama. Nicolas Leoz, Issa Hayatou and Ricardo Teixeira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom