Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

29 March 2011 THE African Cup of Nations (AFCON) qualifiers match between Taifa Stars and Central Africa Republic (CAR) played last Saturday at the National Stadium in Dar es Salaam raised...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Japo haiko updated ila kwa kuanzia sio mbaya, tembelea hapo Welcome to the Frontpage
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu wanaume chini ya miaka 23 imecheza na wenzao wa Kameruni. Matokeo yapoje maana sina apudate yoyote mpaka mda huu. Naomba msaada kwenye tuta!!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Baada ya Algeria kuilaza Morocco 1-0, sasa kundi D limekuwa ni kundi la kifo, kwani timu zote sasa zina point nne baada ya kucheza mechi tatu kila moja. Msimamo wa kundi d la CAN 2012 qualifiers...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
The Best to ever do it!!:hail::hail:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yaani Mungu anatupenda sana sisi wanatnzania kwa sababu kitendo cha algeria kuipiga moroco kumelifanya kundi letu liwe gumu na wote tubakie kuwa na point 4 sasa inabidi tusigfanye any mistake ili...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Haya waungwana, Taifa Stars leo inasaka pointi 3 muhimu mikononi mwa C.A.R ambao kwa sasa ndio viongozi wa kundi D, linalojumuisha timu zingine za Algeria, na Morrocco. Tunaomba wadau wanaojua...
0 Reactions
124 Replies
12K Views
SIKU chache baada ya kocha wa Simba, Patrick Phiri kuondoka klabuni hapo akiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya mchezo dhidi ya TP Mazembe kwa madai ya kuuguliwa kwao, Zambia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasikitisha kuona shirika la habari la Taifa (TBC) linashindwa kuonesha mechi muhimu ya Timu yetu ya Taifa. Na kutegemea shirika binafsi kuonesha.Duniani kote Shirika la umma ndilo linapaswa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wana JF naomba nitoe changamoto zangu katika mustakabali mzima wa soka la Tanzania.Soka la Tanzania ni la maneno na siasa nyingi ,hakuna mipango thabiti ya kutukwamua hapa tulipo ,nikionacho mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MWANACHAMA wa klabu ya Simba, Azim Dewji ameitaka klabu hiyo kutouvumilia utovu wa nidhamu unaofanywa na kocha wao mkuu Patrick Phiri na badala yake amependekeza asimamishwe. Dewji, mfadhili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
what does it mean, katika wimbo wa Whiz Khalifa (black n yellow).......!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ushindi wa jana ulikua muhimu sana kwetu.,hiyo ni moja ya hatua kuelekea guine na gabon 2012..vijana wanastahili pongezi katika hilo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nina Mashaka na huyu kocha wa Taifa stars , Je tatafuzu kombe la Mataifa ya Afrika kwa Mtindo huu?. Tumesawazisha na sasa ni goli moja kwa moja lakini------.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Stars stun Angola to salvage Kenya chances McDonald Mariga celebrates his winning goal with captain Dennis Oliech. The 2-1 victory helped redeem the hosts’...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimemsikia na kumuona julio mida hii tbc anasema atamwakilisha vema kikwete nimekerwa sana na huyu kocha sijui wapembuzi wenzangu mnasemaje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Trade Deadline: Anyone want Thabeet? Posted on: February 15, 2011 1:22 pm Grizzlies "aggressively" shopping Hasheem Thabeet. Posted by Matt Moore...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
KUNAmambo mawili katika soka; mosi, ni maendeleo ya soka katika mpangilio wa ukuzaji wa vipaji, pili ni kushinda mchezo bila kujali mpangilio wa maendeleo ya soka. Na kocha Jose Mourinho wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom