29 March 2011
THE African Cup of Nations (AFCON) qualifiers match between Taifa Stars and Central Africa Republic (CAR) played last Saturday at the National Stadium in Dar es Salaam raised...
Leo timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu wanaume chini ya miaka 23 imecheza na wenzao wa Kameruni. Matokeo yapoje maana sina apudate yoyote mpaka mda huu.
Naomba msaada kwenye tuta!!
Baada ya Algeria kuilaza Morocco 1-0, sasa kundi D limekuwa ni kundi la kifo, kwani timu zote sasa zina point nne baada ya kucheza mechi tatu kila moja. Msimamo wa kundi d la CAN 2012 qualifiers...
Yaani Mungu anatupenda sana sisi wanatnzania kwa sababu kitendo cha algeria kuipiga moroco kumelifanya kundi letu liwe gumu na wote tubakie kuwa na point 4
sasa inabidi tusigfanye any mistake ili...
Haya waungwana, Taifa Stars leo inasaka pointi 3 muhimu mikononi mwa C.A.R ambao kwa sasa ndio viongozi wa kundi D, linalojumuisha timu zingine za Algeria, na Morrocco. Tunaomba wadau wanaojua...
SIKU chache baada ya kocha wa Simba, Patrick Phiri kuondoka klabuni hapo akiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya mchezo dhidi ya TP Mazembe kwa madai ya kuuguliwa kwao, Zambia...
Inasikitisha kuona shirika la habari la Taifa (TBC) linashindwa kuonesha mechi muhimu ya Timu yetu ya Taifa. Na kutegemea shirika binafsi kuonesha.Duniani kote Shirika la umma ndilo linapaswa kuwa...
wana JF naomba nitoe changamoto zangu katika mustakabali mzima wa soka la Tanzania.Soka la Tanzania ni la maneno na siasa nyingi ,hakuna mipango thabiti ya kutukwamua hapa tulipo ,nikionacho mimi...
MWANACHAMA wa klabu ya Simba, Azim Dewji ameitaka klabu hiyo kutouvumilia utovu wa nidhamu unaofanywa na kocha wao mkuu Patrick Phiri na badala yake amependekeza asimamishwe.
Dewji, mfadhili...
Wakuu nina Mashaka na huyu kocha wa Taifa stars , Je tatafuzu kombe la Mataifa ya Afrika kwa Mtindo huu?. Tumesawazisha na sasa ni goli moja kwa moja lakini------.
Stars stun Angola to salvage Kenya chances
McDonald Mariga celebrates his winning goal with captain Dennis Oliech. The 2-1 victory helped redeem the hosts...
KUNAmambo mawili katika soka; mosi, ni maendeleo ya soka katika mpangilio wa ukuzaji wa vipaji, pili ni kushinda mchezo bila kujali mpangilio wa maendeleo ya soka.
Na kocha Jose Mourinho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.