h120 JF-Expert Member Jan 10, 2012 2,532 3,316 Apr 10, 2012 #1 Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu
Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu
h120 JF-Expert Member Jan 10, 2012 2,532 3,316 Apr 10, 2012 Thread starter #2 Los blancos(madrid) wanatisha sipati picha mechi na buyern munich itakuwaje?
K Kimweli JF-Expert Member Oct 4, 2011 899 231 Apr 10, 2012 #3 h120 said: Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu Click to expand... Huwa unabet mdau? Mimi FC Barcelona wa ukweli. Ndoo tunachukua kama unabishi tuweke dau.
h120 said: Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu Click to expand... Huwa unabet mdau? Mimi FC Barcelona wa ukweli. Ndoo tunachukua kama unabishi tuweke dau.
h120 JF-Expert Member Jan 10, 2012 2,532 3,316 Apr 10, 2012 Thread starter #4 historia haijirudii mjomba this time mnakwisha(barca)