Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Simba Pablo Martin anaweza kubeba ubingwa wa Botola ligi kama inavyojulikana ligi ya Morocco baada ya kuongoza kwa pointi 56 na wapinzani wake wa karibu RS Berkane na...
0 Reactions
5 Replies
190 Views
Mabingwa mara tano wa Kombe la Dunia, Brazil national football team, watakutana na Norway national football team katika hatua ya 16 bora mjini New Jersey, huku Brazil wakipewa nafasi kubwa ya...
3 Reactions
50 Replies
975 Views
1st time kifurushi kimekata na mtandao umegoma nikaona siombaya kua mzalendo ila sasa tayar macho yanauma
2 Reactions
6 Replies
145 Views
Mpaka sasa katika Kombe la Dunia 2026, mbio za Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) zinaongozwa na wachezaji hawa: Kylian Mbappé (Ufaransa) – mabao 7. Lionel Messi (Argentina) – mabao 7. Erling...
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Kumbe ndiyomaana Chama kashindwa akapanda bodaboda.
0 Reactions
7 Replies
239 Views
Tuliwatetea sana senegal apa afrika ila jana wametuvua nguo mbele ya dunia,hawastahili kupewa hata sente
4 Reactions
11 Replies
198 Views
  • Featured
Dada yake Cristiano Ronaldo, Katia Aveiro, amesema kuwa nahodha huyo wa Ureno anakaribia kuaga rasmi timu ya taifa baada ya Kombe la Dunia 2026. Akizungumza na Sport TV, Katia amesema: “Kwa...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Mashabiki wa Simba FC Wachambulia Jengo la Yanga FC kwa Mawe. Ni wakati wa Paredi
2 Reactions
21 Replies
616 Views
Hatuna cha kuwapq Azam Tv, bali tunasema Asanteni sana kwa kutuwezesha kufuatilia mechi zote. Hakika mmewafanya watanzania na wananchi wote wa Afrika Mashariki na kati wanafurahia huduma ya Azam...
0 Reactions
12 Replies
216 Views
Nilichoshuhudia leo parade ya Simba Sports nimejiuliza sana kwanini hamasa ya mashabiki wa Simba ni kubwa mno by far! Lakini nikamkumbuka yule mtu aliyeijenga hii na haya ni matunda yake! Haji...
3 Reactions
4 Replies
248 Views
"Pesa nyingi tunawekeza Azam. Nyingi sana lakini hamna la maana. Mashabiki wa Azam ni mashabiki wa Simba na Yanga. Huwa wanakuja kwetu kwa Mkopo na pia wanajua wanalipwa hawana moyo wa upendo...
2 Reactions
12 Replies
381 Views
Nlisema as long as Samia ni Rais basi Yanga tuta enjoy Misimu yote Ubingwa. Maana hilo lipo ndani ya uwezo wetu.
0 Reactions
5 Replies
124 Views
Na kwenye mechi za kombe la dunia tunaona kabisa wamiliki wa jamii hii ya Siri ni watu weupe, angalia timu za watu weupe/wazungu zinavyoshinda mechi zake. Timu ya Africa hata kama iliongoza kwa...
7 Reactions
103 Replies
1K Views
Moja kwa moja .. Ukipita kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa post yeyote inayonumuhusu mshambuliaji Kylian Mbappe lazima tutakutana na Memes za kuchekesha zinazomuhusisha na udikteta . Hayo...
2 Reactions
21 Replies
525 Views
Yanga ni Bingwa tena. Lakini sioni kama watu wana furaha. Watu hawana furaha. Wana unyonge na wamepoa sana. Sielewi tatizo ni nini ndugu zanguni wana Jangwani. Kuna nini hakipo sawa? Hebu...
4 Reactions
13 Replies
241 Views
Mapacha wanaofanana, Hossam na Ibrahim Hassan, wanaandika ukurasa mpya wa kihistoria katika soka la Misri. Sasa wakiwa kama kocha mkuu na mkurugenzi wa timu, ndugu hawa wameiongoza timu ya taifa...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji wenza, Canada, hivyo inasubiri mashindi wa mchezo wa Ufaransa...
0 Reactions
21 Replies
554 Views
Kati ya Timu nne zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za CAF ni Azamu tu ndiyo hadi sasa hivi haina tuzo yoyote. Angalia (1) YANGA: Community Shield, Mapinduzi, na NBC Premier (2) SIMBA...
2 Reactions
5 Replies
209 Views
Back
Top Bottom