Dube aibwaga Yanga, ajiunga na klabu ya Hardrock

Dube aibwaga Yanga, ajiunga na klabu ya Hardrock

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,923
Reaction score
6,534
Aliyekuwa mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Prince Dube amejiunga na klabu ya Hardrock FC ya nchini kwao Zimbabwe.

Baada ya kuondoka kwa Dube sasa Yanga watalazimika Kuingia Sokoni kutafuta mbadala wake kuelekea msimu mpya 2026/27.


Screenshot 2026-07-02 205028.png
Screenshot 2026-07-02 205028.png
 
Mwaandishi rekebisha sio ksibwagaa sawa ni mkataba na makubaliano basi unapo sema kaibwaga means kma katoroka

All in all simba kupata ubingwa labda muibe tu kombe
 
Mkataba wa Dube wa miaka miwili umefikia tamati msimu huu. Makubaliano ya kuongeza mkataba mpya hayakuzaa matunda. Hivyo ameondoka Yanga kihalali. Hakuna aliyembwaga mwenzake.
 
Dube alikuwa yule wa Azam. Huyu wa Yanga kuna muda alikuwa anazingua sana. Hapo Yanga ndio ana faida kwa sababu inawapa nafasi kuingia sokoni na kupata mshambuliaji bora zaidi yake.

Ni mtizamo tu.
 
Unadhani angekuwa hapo milele!?kaenda kupumzika nyumbani kwao alikuja yanga apate angalau medal na kufurahia kuinua kombe kama Zimbwe
Nn:
Kapombe anakuja msimu ujao ili nae ainue kwapa la nbc
 
Back
Top Bottom