Ronaldo aweka rekodi mpya

Ronaldo aweka rekodi mpya

Mjomba Malume

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2025
Posts
903
Reaction score
1,317
Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥

1781763541188.png

CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr. Champions League na The Portuguese Machine bado anaendelea kusaka bao utafikiri kama amelipoteza 😅

Cha kuogopesha zaidi:
  • Ana miaka 41
  • Goal drought imefika mechi 10
  • Penalties hazipatikani tena 😅

Wakati huo huo kule La Pulga mwenyewe anaendelea kupiga magoli World Cup akiwa na umri wa miaka 38 na kuvunja records mbalimbali 🔥

Kibaya zaidi ni kwamba mzee wa “Siuuu” siku hizi anakosa hata shot on target moja 😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom