Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 46,365
- 37,937
Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani.
Ni wazi Rais Donald J. Trump atapendelea zaidi kukabidhi kombe hilo la dunia kwa timu ya mpira wa miguu ya taifa lake na si vinginevyo.
Safari za timu kubwa na tishio kwa soka duniani, zimekua tia maji tia maji mno, mpaka imefikia hatua ya kuanza kuibuka na kuvuma kwa minong'ono ya chini kwa chini kwamba Marekani ina mkono wake usio onekana kwa sasa kwenye, kuzipangua na kuzipunguza timu vigogo wa soka duniani na kubakiza zile ambazo ina zimudu.
But kwa maoni na mtazamo wangu, naona kombe la dunia 2026 likisalia kwa moja ya waandanaji wa michuano hiyo ambao ni Marekani.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Ni wazi Rais Donald J. Trump atapendelea zaidi kukabidhi kombe hilo la dunia kwa timu ya mpira wa miguu ya taifa lake na si vinginevyo.
Safari za timu kubwa na tishio kwa soka duniani, zimekua tia maji tia maji mno, mpaka imefikia hatua ya kuanza kuibuka na kuvuma kwa minong'ono ya chini kwa chini kwamba Marekani ina mkono wake usio onekana kwa sasa kwenye, kuzipangua na kuzipunguza timu vigogo wa soka duniani na kubakiza zile ambazo ina zimudu.
But kwa maoni na mtazamo wangu, naona kombe la dunia 2026 likisalia kwa moja ya waandanaji wa michuano hiyo ambao ni Marekani.🐒
Mungu Ibariki Tanzania