Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, walijikongoja kufuzu hatua ya 16 bora na sasa wanakabiliwa na mtihani mgumu zaidi dhidi ya Misri katika mchezo utakaopigwa jijini Atlanta...
4 Reactions
323 Replies
6K Views
VAR pale Argentina wanapofanya faulu Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya Misri, mjadala mkubwa umeibuka duniani kuhusu matumizi ya Video Assistant Referee (VAR), huku baadhi ya watu wakidai...
2 Reactions
39 Replies
535 Views
Shirikisho la Soka la Misri limewasilisha rasmi malalamiko likitaka kufanyika kwa uchunguzi kuhusu maamuzi ya waamuzi katika mchezo wao wa Kombe la Dunia dhidi ya Argentina uliomalizika kwa kipigo...
1 Reactions
13 Replies
323 Views
Ndugu wa Tanzania Asante sana kwa wakati wote tuliopambana pamoja katika wakati mzuri na ule uliotufunza.. nimejivunia utanzania wangu popote duniani nilipojaaliwa kufika.. nimefurahia vipindi...
6 Reactions
25 Replies
450 Views
Katika michuano ya World Cup ni timu Moja ambayo sipendi kuona wakitwaa ubingwa. Hii timu si nyingine, bali hii yenye wazungu waliojipaka masizi. Timu nyingine tofauti na hiyo ikiwa bingwa...
4 Reactions
51 Replies
534 Views
Lionel Messi ameendelea kuandika historia mpya World Cup baada ya kuwa mchezaji aliyeshinda mechi nyingi zaidi kwenye historia ya mashindano hayo. Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya...
13 Reactions
152 Replies
2K Views
I salute you kinsmen Nilikuwa kimya kwa muda mrefu maana niliona wazi dalili kwetu si nzuri sana Kimsingi msimu huu ilitakiwa tubebe yote tena lakini kwa kuwa kuna sehemu tangu mwanzo...
2 Reactions
4 Replies
290 Views
Izo zote timu pendwa apo janja janja zitakaa pembeni ata FIFA wataona haya kufanya uhuni apo mtu atapigwa mchana kweupe
1 Reactions
16 Replies
225 Views
Hakika mpk sasa sielewi nini kili Fanya mpaka wakashindwa mechi ya jana? Dominance ya mechi ilikua vizuri sana, pale katikati walikuwa vizuri kukata presha na kupasiana, ila kwenye counter ndo...
12 Reactions
119 Replies
1K Views
Mmiliki wa Azam FC, Jamal Bakhresa, amesema yupo tayari kuiondoa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara na kuihamishia Zanzibar, akidai kuwepo kwa ukosefu wa haki katika uendeshaji wa ligi...
14 Reactions
111 Replies
2K Views
Baada ya Portugal kutolewa na Spain kwenye World Cup 2026, Cristiano Ronaldo alisema Euro 2016 kwake ina uzito sawa na World Cup. “Watu wanaweza kusema chochote wanachotaka… lakini kwangu, kuipa...
11 Reactions
140 Replies
1K Views
Hizi kelele zimekua nyingi sana zikiwatuhumu hawa Wamorocco waliwakataa Wafrika. Ni vyema tukashare ushahidi na sisi wengine tuliopitwa tujionee.
12 Reactions
129 Replies
2K Views
Nimepataa dondoo kuhusu bei mpya ambazo zitakuja kutangazwa siku chache zijazo na kampuni ya AzamTv. Kwasasa kuwaona akina Pacome au akina Debora na Fei Toto ubaoni ni Sh 28,000/= Ndio kifurushi...
11 Reactions
56 Replies
42K Views
Anakosaje penalty? Hii ni mbaya!
2 Reactions
15 Replies
266 Views
Jana Jumapili kulifanyika paredi la Simba, baada ya kubeba kombe la CRDB Bank ushindi walioupata dhidi ya Azam FC lakini kuna kitendo kilichofanyika na Msemaji wa Simba Ahmedy Ali kilikuwa si cha...
2 Reactions
9 Replies
428 Views
Timu nyingi za kiafrika tumeonesha maisha yetu ya utafutaji kupitia mchezo mechi za mpira wa miguu yaani jinsi timu zetu zinavyotolewa ndio ivyoivyo jinsi matajir wakiafrika wanavyofilisikaga...
10 Reactions
17 Replies
180 Views
Wengi waliwapa Ureno kufanya vizuri kutokana na kuwa na wachezaji ambao walikuwa na misimu mizuri kwenye ligi zao. Nuno mendes, Vitihna, Gomes, Bruno, Ruben Dias. Lakini matokeo yake uamekuja...
4 Reactions
38 Replies
447 Views
Nimemsikiliza jana Crecentius Magori (Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba) alihojiwa na Azam baada ya mechi yao na Azam FC kuisha anasema kusingekua na makosa ya kibinadamu hata ligi ya NBC...
1 Reactions
17 Replies
311 Views
  • Redirect
Shikilieni bomba hapo hapo na ikibidi fungeni la pili .
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom