Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, walijikongoja kufuzu hatua ya 16 bora na sasa wanakabiliwa na mtihani mgumu zaidi dhidi ya Misri katika mchezo utakaopigwa jijini Atlanta...
VAR pale Argentina wanapofanya faulu
Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya Misri, mjadala mkubwa umeibuka duniani kuhusu matumizi ya Video Assistant Referee (VAR), huku baadhi ya watu wakidai...
Shirikisho la Soka la Misri limewasilisha rasmi malalamiko likitaka kufanyika kwa uchunguzi kuhusu maamuzi ya waamuzi katika mchezo wao wa Kombe la Dunia dhidi ya Argentina uliomalizika kwa kipigo...
Ndugu wa Tanzania
Asante sana kwa wakati wote tuliopambana pamoja katika wakati mzuri na ule uliotufunza.. nimejivunia utanzania wangu popote duniani nilipojaaliwa kufika.. nimefurahia vipindi...
Katika michuano ya World Cup ni timu Moja ambayo sipendi kuona wakitwaa ubingwa.
Hii timu si nyingine, bali hii yenye wazungu waliojipaka masizi.
Timu nyingine tofauti na hiyo ikiwa bingwa...
Lionel Messi ameendelea kuandika historia mpya World Cup baada ya kuwa mchezaji aliyeshinda mechi nyingi zaidi kwenye historia ya mashindano hayo.
Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya...
I salute you kinsmen
Nilikuwa kimya kwa muda mrefu maana niliona wazi dalili kwetu si nzuri sana
Kimsingi msimu huu ilitakiwa tubebe yote tena lakini kwa kuwa kuna sehemu tangu mwanzo...
Hakika mpk sasa sielewi nini kili Fanya mpaka wakashindwa mechi ya jana?
Dominance ya mechi ilikua vizuri sana, pale katikati walikuwa vizuri kukata presha na kupasiana, ila kwenye counter ndo...
Mmiliki wa Azam FC, Jamal Bakhresa, amesema yupo tayari kuiondoa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara na kuihamishia Zanzibar, akidai kuwepo kwa ukosefu wa haki katika uendeshaji wa ligi...
Baada ya Portugal kutolewa na Spain kwenye World Cup 2026, Cristiano Ronaldo alisema Euro 2016 kwake ina uzito sawa na World Cup.
“Watu wanaweza kusema chochote wanachotaka… lakini kwangu, kuipa...
Nimepataa dondoo kuhusu bei mpya ambazo zitakuja kutangazwa siku chache zijazo na kampuni ya AzamTv.
Kwasasa kuwaona akina Pacome au akina Debora na Fei Toto ubaoni ni Sh 28,000/=
Ndio kifurushi...
Jana Jumapili kulifanyika paredi la Simba, baada ya kubeba kombe la CRDB Bank ushindi walioupata dhidi ya Azam FC lakini kuna kitendo kilichofanyika na Msemaji wa Simba Ahmedy Ali kilikuwa si cha...
Timu nyingi za kiafrika tumeonesha maisha yetu ya utafutaji kupitia mchezo mechi za mpira wa miguu yaani jinsi timu zetu zinavyotolewa ndio ivyoivyo jinsi matajir wakiafrika wanavyofilisikaga...
Wengi waliwapa Ureno kufanya vizuri kutokana na kuwa na wachezaji ambao walikuwa na misimu mizuri kwenye ligi zao.
Nuno mendes, Vitihna, Gomes, Bruno, Ruben Dias.
Lakini matokeo yake uamekuja...
Nimemsikiliza jana Crecentius Magori (Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba) alihojiwa na Azam baada ya mechi yao na Azam FC kuisha anasema kusingekua na makosa ya kibinadamu hata ligi ya NBC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.