Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Bos amepaniki, Kauli aliyotoa mmilikiwa Timu ya Azam ndugu bakhresa kwamba wanajitoa kwenye ligi na kuhamia Zanzibar ni kashfa kubwa sana. Kashfa hii inaweza kukimbiza wawekezaji wa mpira na...
6 Reactions
33 Replies
650 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na MWANANCHI NAMBA MOJA Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na leo alimtembelea na kumpa pole mchezaji wa timu ya wananchi Pacome Zouzoua, ambaye anaendelea...
0 Reactions
22 Replies
497 Views
Katika kundi linalojumuisha Tanzania, Algeria, Jordan na Austria nina uhakika pasipo na shaka Tanzania angepata nafasi moja kati ya tatu kumwezesha kufuzu. Tanzania vs Algeria. Hawa tunawajua na...
1 Reactions
6 Replies
131 Views
Ni demokrasia kweli kwenye michezo, lakini timu inayoshinda kocha haipangui bila sababu za msingi. Naogopa kuibadilisha safu ya uongozi wa Yanga uliotutelea makombe kwa miaka 5 mfululizo, maana...
1 Reactions
3 Replies
135 Views
cha kushangaa ili ionekane ni offside anaonyenyeshwa mwenye jezi no. 9 wakati kule mwisho kuna mchezaji mwingine wa Misri. Jamani hii offside kivipi au mimi ndio sioni au sijui? Wachambuzi...
3 Reactions
81 Replies
1K Views
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026, itakayofanyika jijini Kigali, Rwanda, kuanzia Julai 24 hadi Agosti 7, 2026. Ushiriki wa Simba unarejea katika...
3 Reactions
4 Replies
443 Views
Norway 1-2 Uingereza (Baada ya muda wa ziada): Jude Bellingham ang'ara tena huku 'Three Lions' wakitinga nusu fainali ya Kombe la Dunia. Mabao mawili kutoka kwa Jude Bellingham katika joto kali...
0 Reactions
2 Replies
105 Views
Kocha nguli wa soka duniani, José Mourinho, amebatiza mchezo wa ushindi wa mabao 3-2 wa Argentina dhidi ya Misri kuwa ni "filamu iliyoandaliwa matokeo tangu mwanzo," akilalamikia vikli maamuzi ya...
25 Reactions
73 Replies
2K Views
Amefariki akiwa na umri wa miaka 94 (asante Mungu) Alikuwa mwamba wa Chelsea kwa kipindi kirefu
0 Reactions
3 Replies
119 Views
1-Uhispania ni moja ya timu ninayoipenda na kuishabikia, na ligi yao vile vile nimetokea kuipenda sana, pia ni shabiki wa Barcelona.... 2-Argentina ni first team kuipenda na kuishabikia, tena...
0 Reactions
3 Replies
84 Views
Watu wengi wamekuwa na maoni kwamba Erling Haaland ana muonekano kama wa mwafrika. Sura ya Haaland ni features za kiafrika isipokuwa ngozi na nywele ndio vya mzungu. Wengi wanamfananisha na wa...
2 Reactions
30 Replies
701 Views
Itakuwa bonge la mechi ambayo itawakutanisha Morocco the Atlas Lions na Ufaransa Les blues katika hatua ya robo fainali kwenye michuano ya kombe la dunia yanayoendelea Marekani, Mexico na Canada...
5 Reactions
18 Replies
282 Views
  • Featured
Baada ya Senegal kuondolewa kwa maumivu katika hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kufungwa mabao 3-2 na Ubelgiji, nyota wa timu hiyo, Sadio Mané, ametangaza kustaafu kuchezea timu ya...
7 Reactions
24 Replies
727 Views
Wakuu! Siku hizi kila nikifungua mtandao nakutana na theory mpya kuhusu Portugal kupangwa kuwa mabingwa na kundi la siri. Kuna wanaotaja ile scene ya The Simpsons katika “The Cartridge Family”...
17 Reactions
161 Replies
3K Views
Ila FIFA kwahiyo migogoro ya kisiasa ndio unahalisha ubaguzi wa kimechezo kama huu tena toka miaka 1980... ====== Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limepiga marufuku waamuzi wa kimataifa...
2 Reactions
9 Replies
377 Views
Robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 itashuhudia Hispania na Ubelgiji wakikutana katika mechi yao ya kwanza ya ushindani ndani ya takribani miaka 17, baada ya kila timu kufuzu kwa njia tofauti...
4 Reactions
11 Replies
375 Views
Kwa kinacho tokea world cup kuna namna kama huo msemo una coleration flani na reality Angalia, jinsi timu zinavyo hustle, zinakamia mwanzoni then baadae ni kama wanaingiwa pepo uzembe, wanaanza...
16 Reactions
173 Replies
2K Views
Timu ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Morocco katika mchezo wa robo fainali. Mabao ya...
4 Reactions
189 Replies
3K Views
Hali iliyopo Kambini ni ya furaha sana maana utabiri unaonesha kuwa Morocco imefanikiwa kumwondoa France katika hatua hii ya Robo Final. Kwa kweli haikuwa kazi rahisi. Mizimu yote ya Kiarabu...
6 Reactions
74 Replies
1K Views
Back
Top Bottom