The final chapter of Cristiano Ronaldo’s World Cup & International story has been written.
For two decades, football fans across the world watched one man carry the weight of expectations, break...
Baada ya Ureno na Marekani kuaga mashindano tiketi zimekosa soko na kushuka kwa asilimia 60 ,, baada ya watazamaji kupungua kwa kiasi kikubwa. Infunce ta Ronaldo na Uenyeji wa USA kutamatika...
Meneja wa Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza, Hassan Omar Ali amesema taarifa kuwa uwanja huo una changamoto ya uhaba wa vyoo ilikuwa ni mkakati wa kuchafua sifa iliyopangwa na watu wenye...
Neymar Jr ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa baada ya Brazil kutolewa kwenye Kombe la Dunia na Norway katika hatua ya 16 Bora. Hii ni mara ya kwanza Brazil kushindwa kufika hatua ya...
WAGOMBEA 20 wa nafasi za uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), uchaguzi unaotarajia kufanyika Desemba 14, 2024 Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa Kamati ya Uchaguzi wa TOC, Ibrahim Mkwawa...
Nikiwa kama mpenzi wa soka Ronaldo ni mchezaji Bora kama humfananishi na Messi ni vile ushabiki na mapenzi ya watu kwa mchezaji ndio ujitoa ufahamu. Mashabiki wa Ronaldo walikuwa wanalalamika...
Inasikitisha sana lakini ukweli mchungu katika soka letu ni kwamba kuna michezo michafu inachezwa na kusimamiwa na timu moja inayojinasibu kuwa bora kwa miaka mitano mfululizo.
Hawa watu ndio...
Ninashangaa sana wadau wanaosifia kwamba maendeleo ya mpira wa Tanzania yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na TFF na Bodi ya Ligi, Jambo ambalo si kweli. Miaka kadhaa hapo nyuma timu nyingi hazikuwa...
Uzi huu utakuwa uzi maalum wa tetesi zote za usajili katika kulekea msimu mpya wa ligi kuu na michuano ya kimataifa 2026\2027.
Tutakuwa tunapata taarifa timu ipi itamsajili mchezaji gani au kocha...
Hivi hawa jamaa hawajahi kutenganisha kila kitu na itikadi, wakishindwa wanasema mossad na CIA imehusika ila wakishinda wanasema mungu wao ndio amesimama nao , sasa huyo mungu wao na mossad nani...
Ila huyu mzee ni mshamba sana, hajui anachokizungumza, kweli pale Simba viongozi wao ni makopo matupu kabisa.
Peleka ushaidi sasa kwenye mamlaka acha kuropoka
==========
“Kuna watu wameahidiwa...
Curaçao watakuwa na lengo la kuendeleza wimbi zuri baada ya kupata alama yao ya kwanza kabisa katika mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA, watakapoelekea Philadelphia kumenyana na Ivory Coast...
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya shilingi milioni 100 na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kukiuka kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara katika mchezo...
Hatimae Simba tumemaliza ukame wa Makombe!
Haikuwa kazi rahisi, lakini kazi hii ilirahisishwa na kocha Fadlu.
Yeye aliona Hana uwezo wa kuleta Makombe na Simba tulimwamini kuwa uwezo anao, akaona...
Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, walijikongoja kufuzu hatua ya 16 bora na sasa wanakabiliwa na mtihani mgumu zaidi dhidi ya Misri katika mchezo utakaopigwa jijini Atlanta...
VAR pale Argentina wanapofanya faulu
Baada ya ushindi wa Argentina dhidi ya Misri, mjadala mkubwa umeibuka duniani kuhusu matumizi ya Video Assistant Referee (VAR), huku baadhi ya watu wakidai...
Shirikisho la Soka la Misri limewasilisha rasmi malalamiko likitaka kufanyika kwa uchunguzi kuhusu maamuzi ya waamuzi katika mchezo wao wa Kombe la Dunia dhidi ya Argentina uliomalizika kwa kipigo...
Ndugu wa Tanzania
Asante sana kwa wakati wote tuliopambana pamoja katika wakati mzuri na ule uliotufunza.. nimejivunia utanzania wangu popote duniani nilipojaaliwa kufika.. nimefurahia vipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.