Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ahamed Ally aliotea mapema usaliti wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga, hakumtaja kwenye kikosi kilichofanya vizuri na simba msimu uliopita.
2 Reactions
1 Replies
123 Views
Utambulisho wa Selemani Mwalimu , kwa Simba yangu ni uhuni unaoendelea Simba , msituone sisi ni wajinga nyie viongozi majahili wa Simba
23 Reactions
121 Replies
2K Views
Uongozi wa Simba unaendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zimeanza kuibua maswali mazito miongoni mwa mashabiki wa klabu hiyo. Miongoni mwa maeneo yanayoonekana kuwa na changamoto...
1 Reactions
5 Replies
110 Views
Ni suala la mda Ni wazi umafia wa Klabu ya Yanga anao mfanyia Simba, ipo siku kutakucha na taarifa ya "SIMBA IMESAJILIWA NA YANGA"
1 Reactions
5 Replies
90 Views
Mzabuni wa Jezi za Simba SC, CPA Joseph Rwegasira akiwa ndani ya CrownsTv kwenye uzinduzi wa kampeni ya X-Factor
1 Reactions
9 Replies
248 Views
Ngoja nitafute kabisa Demu wa Kuniliwaza Kesho, kwani ninajua nitapata Machungu ya Kipigo cha ''Kishalubela'' Zenji.
1 Reactions
4 Replies
109 Views
Nakuheshimu tu sitaki Kukupiga Madongo kwakuwa ni Mtani wangu kutoka Mkoani Kagera ila acha Kutuzingua sawa?
3 Reactions
6 Replies
147 Views
Kwa wenzetu mnaeijua vizur ligi yetu na timu zake je tokea kipindi cha siasa za vyama vingi je ilishawai tokea ingawaje timu hazina vyama
1 Reactions
14 Replies
304 Views
Habari za siku nyingi , EPL isharudi Msimu 202627 , JamiiForums Fantasy League imerejea . Jiunge uoneshe uwezo ushinde prizes kutoka Fantasy EPL na ligi ndogo mbalimbali zilizopo nchini ...
1 Reactions
0 Replies
49 Views
Tarehe 12 Agosti, macho ya mashabiki wa soka Tanzania yataelekezwa Amaan Stadium, Zanzibar, ambapo Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii. Hii si mechi ya kawaida. Ni Derby ya...
0 Reactions
2 Replies
121 Views
Kuna wachezaji wabovu hasa wa kigeni waliwahi kusajiliwa kwa mbwembwe na timu za Simba na Yanga ila wakaishia kuondoka nchini kimya kimya kutokana na uwezo wao mdogo hata kufikia kushindwa kiuwezo...
3 Reactions
155 Replies
30K Views
Fei Toto alitoka Yanga ikiwa haina kombe la CAF na yuko Azam ambayo haina kombe la CAF. Yanga ilikuwa inashinda vikombe vya ligi ikiwa na Fei na inaendelea kushinda bila Fei. Aliikuta Azam ikiwa...
4 Reactions
9 Replies
184 Views
Kati ya misimu miwili au mitatu tumeona ngao ya jamii ikigombaniwa na timu nne ila msimu huu ni timu mbili. Kwamba ikionekana simba na yanga hawakutani kwenye hiyo mechi kanuni ya timu nne ndio...
2 Reactions
11 Replies
265 Views
Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026. Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa...
3 Reactions
2 Replies
70 Views
Badala ya kuleta wachezaji makini na hodari mnaleta Simba wa porini toka ngorongoro. Sio mbaya watu wengi wa Dar hawana uwezo kwenda mbugani kuangalia wanyama. Mbaya zaidi Straika anasaidia timu...
3 Reactions
6 Replies
165 Views
Si mmejionea wenyewe Yaani mmempa authority kama vile yeye ni Mungu wenu, Sasa yeye ndo kawa kocha Ndo maana mmefungwa na mpira mmechezewa
10 Reactions
54 Replies
951 Views
Nimeona hii taarifa kwenye official page ya Club,mwenye kujua kwa undani nini kimefanyika huko Bunju.
4 Reactions
26 Replies
877 Views
Klabu ya Yanga Sc imekubali kichapo cha bao 1-2 dhidi ya Les Aigles Du Congo katika mchezo wa Yanga Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru. Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha maadhimisho ya...
1 Reactions
109 Replies
2K Views
Sisi kama wana Dar es Salaam Young Africans, tuna unga hoja za Mangungu akiwa kama kiongozi halali wa Simba na tena maamuzi yake yaheshimiwe na wanachama pamoja na viongozi wote wa Simba..
2 Reactions
5 Replies
168 Views
Limeshaharibu tayari. Vinyimbo vyenyewe viwili tu visivyo na maana yoyote halafu mnaliita kuja kuishia kuleta mambo ya kijinga tu.
12 Reactions
100 Replies
1K Views
Back
Top Bottom