Huko ulaya mambo ndo yanazidi kuongezeka ,ndege ,vyombo vinavyokwenda anga za juu,magari/treni za umeme na sasa magari yanayopaa.sisi tunabaki kuruka na ungo na kwenda samunge badala ya kufanya...
Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera, Julius Chomolla akitoa maelezo kuhusu kipimo cha kuonyesha maji yamejaa katika eneo hilo. Katika kiuto...
Wadada na Wamama wa kibongo,
Ingeni mfano wa wazee wetu - Upendo huu ni wa kufa na kuzikana, hapa mama winnie hana kinyongo kaenda kumpa Congra. Mzee mwezake na mume wake wa kwanza Nelson, ili...
Kampuni ya Terrafugia huko Marekani imebuni gari linaloweza kuruka,kupambana na foleni barabarani,gari hilo lenye kuhitaji mita 518 kwa ajili ya kuchukua kasi ya kuruka!
Mwanzilishi wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo (kulia) na Mmoja wa wasaidizi wake, Bahati Chande wakiwa pamoja na top 3 ya Miss Universe usiku huu. JamiiForums walikuwa wadhamini katika...
New Al Jazeera Swahili Studios .
Hii ndio studio mpya amabyo inajengwa hivi sasa Jijini Nairobi tayari kwa kurusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili ambapo Tido Mhando ndiye atakayekuwa...
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Benard Membe akiwa na waombolezaji katika msiba wa marehemu Sekou Toure ( CRDB Lumumba branch boss) nyumbani kwa marehemnu mtoni mtongani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.