Na kama umezidiwa sana bora uende tu porini kuliko choo hicho!duh hapo mtihani haja inaweza ikarudi yenyewe.
Pori utalikuta wapi na hapo ni city centre??!!Na kama umezidiwa sana bora uende tu porini kuliko choo hicho!
Una maana JK anaishi uko? hizi lugha zenu zitawafikisha pabaya,kumtusi kiongozi wa nchi si busara hata kidogoJamaa wala hajapakwa chokaa,check vizuri kule ikulu ndo tundu lenyewe la choo
Na kama umezidiwa sana bora uende tu porini kuliko choo hicho!
Una maana JK anaishi uko? hizi lugha zenu zitawafikisha pabaya,kumtusi kiongozi wa nchi si busara hata kidogo
Na kama umezidiwa sana bora uende tu porini kuliko choo hicho!