Taswira ya Kiwango cha Maji Bwawa la Kuzalisha Umeme MTERA

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050




Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera, Julius Chomolla akitoa maelezo kuhusu kipimo cha kuonyesha maji yamejaa katika eneo hilo. Katika kiuto hicho kiwango cha juu cha kuzalisha umeme ni mita 698 wakati cha chini cha kuzalisha nishati hiyo ni mita 690 na jana (juzi) kipimo hicho kilionyesha mita 690.74, ambapo. Bwawa hilo linazalisha umeme MW 33 badala ya MW 80.
 
hela wanakusanya za kuhonga, hakuna wazo jipya la kutafuta chanzo kingine cha maji. ..........mbafu.

na hiyo bajeti yote ni feki, koba lote la waziri wa fedha ni upupu mtupu. wakaanze upya. sorry nina hasira.
 
wanakusanya pesa zetu ili wahongane wapitishe bajeti ya kipuuzi...
hela wanakusanya za kuhonga, hakuna wazo jipya la kutafuta chanzo kingine cha maji. ..........mbafu.

na hiyo bajeti yote ni feki, koba lote la waziri wa fedha ni upupu mtupu. wakaanze upya. sorry nina hasira.
 
Back
Top Bottom