Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Du...mkuu uchokozi huu!Saaaafi sana Max, walidhani huna suti
nimekupa Like, japo kuna wakati mwingine una mambo ya kuudhi sanaMademu na mawig! wataacha lini ulimbukeni huu?
Ndiyo yepi hayo? kiswahili hiki! Mmmh!nimekupa Like, japo kuna wakati mwingine una mambo ya kuudhi sana
Ndiyo yepi hayo? kiswahili hiki! Mmmh!
Max Kama ulikuwa judge naomba namba ya mshindi wa pili....nata mfanyia mipango ya modelling....
Max Kama ulikuwa judge naomba namba ya mshindi wa pili....nata mfanyia mipango ya modelling....
Mhhhhh! una macho mazuri sana katika kuchagua warembo.
Mkuu kuna mmoja hapo safii kweli lakini hakuingia hata 3 bora
hivi miss universe lazima awe light skinned?manake kuna warembo safii hapo black beauty hawakushinda
Huyu mama Sarungi huwa namwamini miaka yote lakini mwaka huu kachemsha,huyu Nelly ana maskendo kibao na haishi kuandikwa kwenye magazeti kwa habari mbaya toka ashiriki miss Tanzania miaka 2 ilopita baadhi yakiwa umalaya,usagaji.ulevi wa kupindukia,picha za ngono e.t.c mwaka huu tunalo.Mhhhhh! una macho mazuri sana katika kuchagua warembo.