Basi,wewe usiwaombee watu hawa,wala usiwapazie sauti yako,wala kuwaombea dua, wala usinisihi kwa ajili yao; kwa maana sitakusikiliza.(Soma Yeremia 7:16)hapo sasa! Kula kuku ndani ya banda.
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyonavyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema,sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.(Soma Waebrania 13:5)
Halafu baadae wanaajiriwa TANESCO, wanakosa ubunifu, nchi inafunikwa na giza, politicians wanapandisha mapepo au tuseme mashetani na kuzozana wakitoa mamipovu midomoni bila kujua waanzie wapi maskini na kuishia wapi.Kinachowaponza dada zetu ni marks za chupi. Hawapendi kuchakalika na kitabu badala yake wanategemea miili yao katika kupasi mitihani.