here i can see CCJ leaders , ccj wamepewa RunguNi Katika Uwanja wa Rwandanzovwe Jijini Mbeya!Mie Mkweche nasema maandamano ni haki ya Kila Chama Cha Siasa na Si Kubezana!
View attachment 33970 View attachment 33971
mbona naona wote ni viongozi wa ccj?
kubariki mgao wa umemeLengo la maandamano yao lilikuwa nini?NIJUZENI WAKUU.
mkuu hapo umenena,nami nasubiria jibu.Lengo la maandamano yao lilikuwa nini?NIJUZENI WAKUU.