Sasa kama linaruka hewani kwa nini liendelee kuitwa gari na siyo ndege?
Usafirishaji wake utasimamiwa na sheria za anga au sheria za barabarani?
Kwa mtaji huu hata matrafiki wanaopenda kitu kidogo barabarani hawapati kitu hapa.
wakati wenzetu wanagundua magari yapaayo wacha sisi tuwe tunajadili kukuza kiwango chetu cha soka na kukabiliana nafoleni na matatizo ya umeme
Ni kama lile la James Bond, litakuwa na uwezo wa kutanuka na kusinyaa kwahiyo usihofu likitua kwenye msongamano lina sinyaa halafu linapita katikati yao.Sipati picha linapohitaji kutua halafu hakuna pa kutua magar yamejaa bara2n?
Sasa kama linaruka hewani kwa nini liendelee kuitwa gari na siyo ndege?
Usafirishaji wake utasimamiwa na sheria za anga au sheria za barabarani?
Kwa mtaji huu hata matrafiki wanaopenda kitu kidogo barabarani hawapati kitu hapa.
kwa kweli!umenena mkuu.JK anahitaji kuweka order ili asichelewe eapot.
Sasa kama linaruka hewani kwa nini liendelee kuitwa gari na siyo ndege?
Usafirishaji wake utasimamiwa na sheria za anga au sheria za barabarani?
Kwa mtaji huu hata matrafiki wanaopenda kitu kidogo barabarani hawapati kitu hapa.