Maintainance culture ni matatizo hapa bongo.
Tembea tembea zangu huko Tanga nikaona godown la enzi ya mkoloni likimezwa na mti ambao ulianza kama kichaka tu.
Hebu tazama hii clip huyu mama ana huruma sana pengine kuliko hata mama Teresa, huko India ng'ombe anathaminiwa sana. lakini huku Bongo mbona wahindi wanapika na kula sana nyama ya ng'ombe...
Habari zenu wakuu natumaini muwazima wa afya,
nilikuwa sijui kama na mtoto wa gadafi na yeye ni cdm kweli chama chenu kiko juu mbaya embu angalia hii snapshot hapa chini
ni hayo tu kwa leo..
CHINA
A labourer works on a steel structure at a financial building construction site,
as the cityscape is seen amid smoke from burning straw, in Hefei, Anhui.
DWIGHT HOWARD AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU
Mchezaji maarufu wa mpira wa Kikapu duniani, Dwight Howard akimkabidhi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete zawadi ya jezi wakati nyota huyo alipomtembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.