kansije Member Joined Sep 16, 2010 Posts 50 Reaction score 10 Aug 25, 2011 #1 Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifikiria nini kuipa jina la kimyakimya
Lutala JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 848 Reaction score 104 Aug 25, 2011 #2 huwa hawapigi mziki hapo
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Aug 25, 2011 #3 Hii mbona km vile li'pub' flan pale karatu karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya!?
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,832 Reaction score 13,798 Aug 25, 2011 #4 Hizo ndo nzuri.
bht JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 10,336 Reaction score 1,883 Aug 25, 2011 #5 kansije said: Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifiria nini kuipa jina la kimyakimya View attachment 35967 Click to expand... unaharakishia wapi?
kansije said: Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifiria nini kuipa jina la kimyakimya View attachment 35967 Click to expand... unaharakishia wapi?
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 Aug 25, 2011 #6 hiyo ya ukweli, hata wahudumu hadi mke wa bosi we ukimtaka unamalizana nae kimyakimya.
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Aug 25, 2011 #7 wahudumu mabubu hadi uonyeshe sign so no kuongea
wilbald JF-Expert Member Joined Dec 17, 2007 Posts 1,810 Reaction score 1,382 Aug 25, 2011 #8 kansije said: Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifikiria nini kuipa jina la kimyakimya View attachment 35967 Click to expand... Ukiingia hapa unatakiwa ubonyeze kimyakimya ka JMO ALIVYOSEMA.
kansije said: Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifikiria nini kuipa jina la kimyakimya View attachment 35967 Click to expand... Ukiingia hapa unatakiwa ubonyeze kimyakimya ka JMO ALIVYOSEMA.
Adrian Stepp R I P Joined Jul 1, 2011 Posts 2,764 Reaction score 2,600 Aug 25, 2011 #9 bht said: unaharakishia wapi? Click to expand... ha ha ha ha dah, yo very smart..
bht JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 10,336 Reaction score 1,883 Aug 25, 2011 #10 Tbag Hatari said: ha ha ha ha dah, yo very smart.. Click to expand... heading kakosea na ndani tena kakosea..... kuna maneno mengine ukikosea unaweza kuharibu kabisa maana uliyokusudia kutoa kwa hadhira yako
Tbag Hatari said: ha ha ha ha dah, yo very smart.. Click to expand... heading kakosea na ndani tena kakosea..... kuna maneno mengine ukikosea unaweza kuharibu kabisa maana uliyokusudia kutoa kwa hadhira yako
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Aug 25, 2011 #11 Mambo yote kimya kimya,,,,,,,,,,,
kansije Member Joined Sep 16, 2010 Posts 50 Reaction score 10 Aug 25, 2011 Thread starter #12 Daffi said: Hii mbona km vile li'pub' flan pale karatu karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya!? Click to expand... <br /> <br /> hii pup iko maeneo ya iko maeneo ya ukonga mombasa
Daffi said: Hii mbona km vile li'pub' flan pale karatu karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya!? Click to expand... <br /> <br /> hii pup iko maeneo ya iko maeneo ya ukonga mombasa
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Aug 25, 2011 #13 Anamaanisha hata vbaka wakiwavamia hakuna kupga kelele.