Burudani katika Picha.

Burudani katika Picha.

Kivumah

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2008
Posts
2,427
Reaction score
1,061
08_11_h6sz0c.jpg



IMG_5711.JPG
[h=1][/h]

IMG_2739.JPG

mg2.JPG


mgo.JPG



 
..Hapo naona JK anadokoa VYUKU.
 
Huyo dingi hapo naona kama vile anamzomea Pinda vile jamani, au ndio anafurahi hadi jino la mwisho?
 
Huyo dingi hapo naona kama vile anamzomea Pinda vile jamani, au ndio anafurahi hadi jino la mwisho?
..Meno yote thelathini na Nje yako mbili. vice versa is true
 
hapo kwa jey key vipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????????
au anasubiri kuja kupakuliwa na honey?
au anaenda kuchukua sahani???????????????????
 
IMG_5711.JPG


Hapa ndipo maana ya kufunga kwa wenzetu inaponitatiza? Hivi hiyo Iftar imegharamiwa na bajeti ya Ikulu? Kama ndio sio kuchanganya dini na siasa huku? Kama ni Zanzibar sawa!
 
sasa wewee inakutatatiza nini...kwani kuna ubaya ganii ikulu ikaandaa futrarii na kuftarishaa waumini wa dini zote,wee ndo mbanguziiii.unamawao hasiii mkuu
IMG_5711.JPG


Hapa ndipo maana ya kufunga kwa wenzetu inaponitatiza? Hivi hiyo Iftar imegharamiwa na bajeti ya Ikulu? Kama ndio sio kuchanganya dini na siasa huku? Kama ni Zanzibar sawa!
 
Back
Top Bottom