Hopefully kaosha mikono....
Mi nimempenda Nyoka ...
<br /><font size="3">mbona jey key anachukua kwa mikono huyu nae yani anachafua kila kona</font>
halafu shati lenyewe la pink??!!!Huyo jamaa mwenye shati la pinki si angekwepa picha kidogo.
jamaa ananyakua kipaja cha kuku kwa vidole?
![]()
Hapa ndipo maana ya kufunga kwa wenzetu inaponitatiza? Hivi hiyo Iftar imegharamiwa na bajeti ya Ikulu? Kama ndio sio kuchanganya dini na siasa huku? Kama ni Zanzibar sawa!