Aaah. Spika msataafu sitta. Hapo nimekukubali!

Aaah. Spika msataafu sitta. Hapo nimekukubali!

Mchaka Mchaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2010
Posts
4,517
Reaction score
1,428
Taratiibu!
sakatarumba.jpg
 
mficha uchi hazai, weka mambo hazarani tukusaidie mh. spika mstaafu.

 
bila shaka magreth sitta (mkewe) hakuwepo karibu.nice pozi
vyama vinakaa kando mziki unachukua nafasi yake,safiiii sanaaaa
 
..hii ilishawekwa hapa siku nyingi. tumeichoka.
 
tunapingana kwa hoja,kusocialize si dhambi,na hasa baada ya kazi ngumu ya kuwabana mafisadi,hongera Mdee huo ndo ukomavu wa siasa
from sammosses-Shinyanga
 
" Lakin bint unakomaaga mno mjengoni mpaka ccm wanakosa raha punguza kiduchu basi" 6 alisikika akilonga, "laki mzee six,........
 
nilikuwa na mpango wa kumtokea mdee sasa basi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom