Aaah. Spika msataafu sitta. Hapo nimekukubali!

Mchaka Mchaka

JF-Expert Member
Jul 20, 2010
4,516
1,404
Taratiibu!
sakatarumba.jpg
 
bila shaka magreth sitta (mkewe) hakuwepo karibu.nice pozi
vyama vinakaa kando mziki unachukua nafasi yake,safiiii sanaaaa
 
tunapingana kwa hoja,kusocialize si dhambi,na hasa baada ya kazi ngumu ya kuwabana mafisadi,hongera Mdee huo ndo ukomavu wa siasa
from sammosses-Shinyanga
 
" Lakin bint unakomaaga mno mjengoni mpaka ccm wanakosa raha punguza kiduchu basi" 6 alisikika akilonga, "laki mzee six,........
 
Back
Top Bottom