Nilikuwa sijui kuhusu CHADEMA..

Nilikuwa sijui kuhusu CHADEMA..

ndetichia

Platinum Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
27,769
Reaction score
6,589
Habari zenu wakuu natumaini muwazima wa afya,

nilikuwa sijui kama na mtoto wa gadafi na yeye ni cdm kweli chama chenu kiko juu mbaya embu angalia hii snapshot hapa chini

34bcc798e9b4a312f60e6a706700e9b0.jpg


ni hayo tu kwa leo..
 
😛eace:" kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha ubinafsi!.


 
kumbe Chadema ni among vyama vya Freemason?
 
safi kumbe chadema ni moja ya chama cha wenye akili?????????????????
 
Mambo mengi hatuyajui ila usiogope kuuliza. Alama ya vidole viwili ni ISHARA ya ushindi, mkuu wala haijaanzishwa na cdm. cdm wanaituimia kama ishara ya ushindi!
 
Yanga kama kichwa cha mwendawazimu,kila mtu ananyoa tu........!!!
 
Wakati mwingine watanzania tuwe makini sana kwani kama hata waziri mkuu hana mamlaka sasa kwanini awepo.kwa katiba ya sasa ni bora akawe mkuu wa mkoa kwao rukwa
 
Mambo mengi hatuyajui ila usiogope kuuliza. Alama ya vidole viwili ni ISHARA ya ushindi, mkuu wala haijaanzishwa na cdm. cdm wanaituimia kama ishara ya ushindi!

genekai umepatia kabisa,
Kwa kuongezea tu, alama ya vidole viwili maana yake ni ishara ya vitu viwili -Ushindi na Amani - peace and Victory. Duniani kote inafahamika hivyo. Na lazima kiwe kidole cha kwanza na cha pili (cha kati) Na ndivyo ilivyofafanuliwa vizuri hata kwenye katiba yetu. Ndo maana Dr Slaa alipochakachuliwa kura zake hakuwaambia watu wafanye vurugu alikaa kimya, huku akijua usalama wanaiba kura, alilikuwa analinda amani (PEACE) ambayo ni tunu mmojawapo ambayo Tanzania tunaienzi. Angesema neno kama Raila Odinga wa Kenya, pangechimbika. Desturi ya Chadema, kulinda amani kwa vitendo. Siyo staili ya CCM ya kuongea sana amani, ili akina Jairo na Masaburi wanaposaini mikataba, watu wasiandamane na kufanya fujo- wakaharibu tonge lao.
 
Kwa mawazo yako ya kijnga. Kila m2 anayenyosha vdole vwl n chadema?
Magamba yanashda sana.
 
kumbe Chadema ni among vyama vya Freemason?
<br />
<br />
Hata alama ya chama cha mapinduzi ya jembe na nyundo imekaa kama alama ya X inayo tumiwa na Freemasons! check video ya RUN THS TOWN ya Jey Z inayo elezea u freemason wake.
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/peace.gif" border="0" alt="" title="Peace" smilieid="238" class="inlineimg" />" <span style="font-family: Book Antiqua"><font color="red">kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha <span style="font-family: Tahoma"><font color="red">ubinafsi</font></span>!.<br />
<br />
<br />
</font></span>
<br />
<br />
umegundua nini..
 
inaonesha chadema imekukaaeni? lakini rabda niwwaambie kitu hata kama mtu mmoja akiipigia ccm inatosha kwa ushindi na hivyo viti milivyovipata mtaviota! 2015
 
kumbe Chadema ni among vyama vya Freemason?

Kweli nimeamini kinywa cha mtu hutamka yaujazayo moyo wake,vile vile kwa hapa JF avatar ya mhusika huelezea kilichomo kwenye ubongo wake. Avatar ya Rejao imefanana na taahira fulani hivi na hivi ndivyo ulivyo ubongo wake.NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom