huh.................nasikia jamaa alishawahi ng'atwa na mbung'o
Wassira angekuwa ni mtoto ningesema ni down syndrome
Ha ha ha ha,hapo ndio ameamka!
Wassira angekuwa ni mtoto ningesema ni down syndrome
<br />Upart from usingizi ...Jamaa has something good ..qualities ...xpirince... ?<br />
<br />
yaani what make him where he is ..Jk yuko obssed naye bila sababu?
lakini sasa hivi hauwezi kusema ana down's syndrome kutokana na achievements aliyonayo.Down's syndrome wapo hata watu wazima...japo wengi hufa umri mdogo!
hii ndio serikali ya vijana.wataacha kulala