Nini maana ya kuuza Nafsi kwa Shetani? what shall it profit a man, if he shall gain the whole world, and lose his own soul?

badison

JF-Expert Member
May 29, 2015
1,450
2,702
Inner peace is a new success.

Ndugu zangu wanadamu leo napenda nitoe elimu kidogo kuhusu suala la kuuza Nafsi au kwa kizungu selling your Soul. Binafsi naamini shetani yupo na pia shetani ni mjanja sana lakini watoto wa Mungu tunajua mbinu zake za kuwapoteza wanadamu.

Waefeso 6: 12 inasema "For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places."

Inaanisha ya Kwamba, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho."

Baadhi ya Watu wengi waliotuzunguka, wengine tumeoana nao ni wake zetu, waume zetu au watoto wetu au wazazi wetu pamoja na ndugu zetu na majirani walio tuzunguka hasa marafiki wa karibu tunao waamini ni wasaliti wakubwa sana na ni maadui zetu wa chini chini wanaotuchukia sana.

Shetani yupo na inawezekana umesha wahi kukutana nae umewahi kusalimiana naye yani kwa kifu shetani siyo kiumbe mmoja bali ni Li Roho ambalo halina mwili. Na kazi yake ni kumdhalilisha mwanadamu kufanya vitendo viovu.

Imeshawahi kusikia kuhusu mapepo katika mfumo wa binadamu? Umeshawahi kuchukiwa na mtu au watu waliokuzunguka bila sababu au mda huu wanaongea na wewe alafu kesho wanakununia bila sababu na hujawakosea kitu. Ulisha wahi kusikia mtu anasema fulani namchukia sana lakini ukimuuliza kwanini unamchukia anasema na kukujubu basi tuu yani namchukia simpendi tuu. Hiyo ndiyo jinsi ya kumtambua shetani aishie ndani ya mtu aliye uza Nafsi.

Process ya kuuza nafsi ipo hivi unapewa fomu ya kujaza ambayo fomu hiyo inamaelekezo yote kukuhusu wewe kutoa taarifa zako zote pamoja na dhambi ambayo wewe unapenda kuifanya sana. Kuuza nafsi maana yake ni kuyapa nafasi matamanio ya nafsi yako kufanya vitu kinyume na Mungu.

Mfano kuna dhambi za uchawi, uzinzi,wizi,uvutaji bangi kunywa pombe na sigara au kusengenya, kujichuwa, ushoga,yani juu ya dhambi ni Kwamba unatoa maelezo yaliyo nyooka Kwamba hiyo dhambi unayoipenda ndiyo utakayo uza Nafsi yako.

Mfano kama Wewe ni mwanamke au mwanaume unapenda kufanya ngono au zinaa utauza Nafsi yako huko na kazi yako itakuwa kuwaharibia watu waisha yao kupitia ngono mathalani kuvunja ndoa za watu au kuambukiza magonjwa kwa makusudi nk na wakala huyo aliyeuza nafsi kwa uzinzi huwa na uwezo wa kuwapa watu magonjwa kama ukimwi au magonjwa ya zinaa lakini yeye ana dunda tuu na afya njema.

Mathalani umeuza nafsi kwa sababu ya ushoga au usagaji mafanikio yako yatakuwa huko huko ukiwa unafanya hivyo vitendo utakutana na watu mtaendana na kazi yenu itakuwa kuwaharibia maisha vijana wenzenu.

Mathalani Wewe unapenda pombe na sigara na bangi mafanikio yako yatakuwa kuwafundisha vijana matumizi ya hivyo vitu ili uharibu maisha yao.

Wewe umeuza nafsi yako ili upate nguvu za kichawi kazi yako itakuwa kuwaloga watu ambao hawajakukosea chochote wala hakuna mwanadamu aliye kufanyia ubaya lakini kwakuwa umeuza nafsi inabidi umloge na umuharibie maisha yake asiye na hatia ni roho mbaya ilioje kuishi ndani ya mtu.

The thief comes only to steal and kill and destroy; I have come that they may have life, and have it to the full. Kazi ya shetani ni kuiba nyota au destiny za watu mathalani ukiingia kwenye uzinzi au bangi au pombe zilizo pitiliza utasahau lengo alilokupa Mungu hapa duniani na utasahau kuomba baraka zao kwani Roho yako itakuwa chafu umetekwa na adui.

Tafadhali sana kuwa makini na marafiki wanao kununulia pombe sigara bangi starehe za wanawake au wanaume. Yani jiepushe na wale watu au marafiki ambao hawapungukiwi pesa za kufanyia starehe. Utanishukuru.

Wewe ni kijana usiye jitambua mimi najaribu kumuelimisha japo mtu hata mmoja anijue namanisha nini. Kwani mimi nilisha pitia hayo na nikaharibikiwa kabisa na kupotea kila kitu kwenye maisha yangu.

Dalili ya uchawi ni adictions au urahibu wowote ule iwe bangi pombe sigara ngono kula kupitiliza umbeya usengenyaji na kuzungukwa na watu wengi lakini hakuna hata mmoja mwenye msaada kwako ukiwa na shida.

Shetani yupo na atakupa nguvu za kufanya matendo mabaya sana ya kuharibu maisha ya wengine. Mbaya zaidi ukiuza nafsi unakuwa na alama ya shetani usoni kwako na pia kama wewe ni mtu wa Mungu unajulikana kwa alama kwenye paji lako.

Kwahiyo hawa kundi la shetani wanaona alama ya Mungu inayo kutambulisha muonekano wake ni Nuru wao huichukia Nuru na watajaribu kuizima.

Wakifanikiwa Wewe utaharibikiwa kila kitu kama una mali zitafilisika kama una mke mzuri anakupenda mtaachana. Wakiona hiyo alama ya Mungu basi hapo hapo unakuwa adui watakufatilia wajue wewe ni nani na unakaa wapi. Ili wajaribu kuharibu maisha yako.

Watu waliouza Nafsi hupendana wao kwa wao utawaona kwenye nyimbo wanahamasisha uzinzi,pombe, bangi na ushoga. Kwenye uongozi hawakemei mabaya.
 
Unaiuzaje sasa hiyo nafsi niiuze yangu....nitajilike
Mkataba wa kuuza Nafsi ni standard form contract au fomu ambayo unajaza na kisha unasaini kwa tone la damu yako cha muhimu ni kujua kuhusu dhambi ambayo wewe unaipenda sana na unamuomba shetani akupe mafanikio kupitia dhambi hiyo.

Unauzaje ni kwamba unaruhusu kutumika na mapepo kuua kuiba na kuharibu binadamu wenzako
 
Mkataba wa kuuza Nafsi ni standard form contract au fomu ambayo unajaza na kisha unasaini kwa tone la damu yako cha muhimu ni kujua kuhusu dhambi ambayo wewe unaipenda sana na unamuomba shetani akupe mafanikio kupitia dhambi hiyo.

Unauzaje ni kwamba unaruhusu kutumika na mapepo kuua kuiba na kuharibu binadamu wenzako
Wapi huo mkataba unapatikana. Huwa naitafuta sana mikataba kama hiyo
 
Inner peace is a new success.

Ndugu zangu wanadamu leo napenda nitoe elimu kidogo kuhusu suala la kuuza Nafsi au kwa kizungu selling your Soul. Binafsi naamini shetani yupo na pia shetani ni mjanja sana lakini watoto wa Mungu tunajua mbinu zake za kuwapoteza wanadamu.

Waefeso 6: 12 inasema "For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places."

Inaanisha ya Kwamba, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho."

Baadhi ya Watu wengi waliotuzunguka, wengine tumeoana nao ni wake zetu, waume zetu au watoto wetu au wazazi wetu pamoja na ndugu zetu na majirani walio tuzunguka hasa marafiki wa karibu tunao waamini ni wasaliti wakubwa sana na ni maadui zetu wa chini chini wanaotuchukia sana.

Shetani yupo na inawezekana umesha wahi kukutana nae umewahi kusalimiana naye yani kwa kifu shetani siyo kiumbe mmoja bali ni Li Roho ambalo halina mwili. Na kazi yake ni kumdhalilisha mwanadamu kufanya vitendo viovu.

Imeshawahi kusikia kuhusu mapepo katika mfumo wa binadamu? Umeshawahi kuchukiwa na mtu au watu waliokuzunguka bila sababu au mda huu wanaongea na wewe alafu kesho wanakununia bila sababu na hujawakosea kitu. Ulisha wahi kusikia mtu anasema fulani namchukia sana lakini ukimuuliza kwanini unamchukia anasema na kukujubu basi tuu yani namchukia simpendi tuu. Hiyo ndiyo jinsi ya kumtambua shetani aishie ndani ya mtu aliye uza Nafsi.

Process ya kuuza nafsi ipo hivi unapewa fomu ya kujaza ambayo fomu hiyo inamaelekezo yote kukuhusu wewe kutoa taarifa zako zote pamoja na dhambi ambayo wewe unapenda kuifanya sana. Kuuza nafsi maana yake ni kuyapa nafasi matamanio ya nafsi yako kufanya vitu kinyume na Mungu.

Mfano kuna dhambi za uchawi, uzinzi,wizi,uvutaji bangi kunywa pombe na sigara au kusengenya, kujichuwa, ushoga,yani juu ya dhambi ni Kwamba unatoa maelezo yaliyo nyooka Kwamba hiyo dhambi unayoipenda ndiyo utakayo uza Nafsi yako.

Mfano kama Wewe ni mwanamke au mwanaume unapenda kufanya ngono au zinaa utauza Nafsi yako huko na kazi yako itakuwa kuwaharibia watu waisha yao kupitia ngono mathalani kuvunja ndoa za watu au kuambukiza magonjwa kwa makusudi nk na wakala huyo aliyeuza nafsi kwa uzinzi huwa na uwezo wa kuwapa watu magonjwa kama ukimwi au magonjwa ya zinaa lakini yeye ana dunda tuu na afya njema.

Mathalani umeuza nafsi kwa sababu ya ushoga au usagaji mafanikio yako yatakuwa huko huko ukiwa unafanya hivyo vitendo utakutana na watu mtaendana na kazi yenu itakuwa kuwaharibia maisha vijana wenzenu.

Mathalani Wewe unapenda pombe na sigara na bangi mafanikio yako yatakuwa kuwafundisha vijana matumizi ya hivyo vitu ili uharibu maisha yao.

Wewe umeuza nafsi yako ili upate nguvu za kichawi kazi yako itakuwa kuwaloga watu ambao hawajakukosea chochote wala hakuna mwanadamu aliye kufanyia ubaya lakini kwakuwa umeuza nafsi inabidi umloge na umuharibie maisha yake asiye na hatia ni roho mbaya ilioje kuishi ndani ya mtu.

The thief comes only to steal and kill and destroy; I have come that they may have life, and have it to the full. Kazi ya shetani ni kuiba nyota au destiny za watu mathalani ukiingia kwenye uzinzi au bangi au pombe zilizo pitiliza utasahau lengo alilokupa Mungu hapa duniani na utasahau kuomba baraka zao kwani Roho yako itakuwa chafu umetekwa na adui.

Tafadhali sana kuwa makini na marafiki wanao kununulia pombe sigara bangi starehe za wanawake au wanaume. Yani jiepushe na wale watu au marafiki ambao hawapungukiwi pesa za kufanyia starehe. Utanishukuru.

Wewe ni kijana usiye jitambua mimi najaribu kumuelimisha japo mtu hata mmoja anijue namanisha nini. Kwani mimi nilisha pitia hayo na nikaharibikiwa kabisa na kupotea kila kitu kwenye maisha yangu.

Dalili ya uchawi ni adictions au urahibu wowote ule iwe bangi pombe sigara ngono kula kupitiliza umbeya usengenyaji na kuzungukwa na watu wengi lakini hakuna hata mmoja mwenye msaada kwako ukiwa na shida.

Shetani yupo na atakupa nguvu za kufanya matendo mabaya sana ya kuharibu maisha ya wengine. Mbaya zaidi ukiuza nafsi unakuwa na alama ya shetani usoni kwako na pia kama wewe ni mtu wa Mungu unajulikana kwa alama kwenye paji lako.

Kwahiyo hawa kundi la shetani wanaona alama ya Mungu inayo kutambulisha muonekano wake ni Nuru wao huichukia Nuru na watajaribu kuizima.

Wakifanikiwa Wewe utaharibikiwa kila kitu kama una mali zitafilisika kama una mke mzuri anakupenda mtaachana. Wakiona hiyo alama ya Mungu basi hapo hapo unakuwa adui watakufatilia wajue wewe ni nani na unakaa wapi. Ili wajaribu kuharibu maisha yako.

Watu waliouza Nafsi hupendana wao kwa wao utawaona kwenye nyimbo wanahamasisha uzinzi,pombe, bangi na ushoga. Kwenye uongozi hawakemei mabaya.
 
Mkataba wa kuuza Nafsi ni standard form contract au fomu ambayo unajaza na kisha unasaini kwa tone la damu yako cha muhimu ni kujua kuhusu dhambi ambayo wewe unaipenda sana na unamuomba shetani akupe mafanikio kupitia dhambi hiyo.

Unauzaje ni kwamba unaruhusu kutumika na mapepo kuua kuiba na kuharibu binadamu wenzako
Fomu inapatikana wapi hiyo?
 
Inner peace is a new success.

Ndugu zangu wanadamu leo napenda nitoe elimu kidogo kuhusu suala la kuuza Nafsi au kwa kizungu selling your Soul. Binafsi naamini shetani yupo na pia shetani ni mjanja sana lakini watoto wa Mungu tunajua mbinu zake za kuwapoteza wanadamu.

Waefeso 6: 12 inasema "For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places."

Inaanisha ya Kwamba, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho."

Baadhi ya Watu wengi waliotuzunguka, wengine tumeoana nao ni wake zetu, waume zetu au watoto wetu au wazazi wetu pamoja na ndugu zetu na majirani walio tuzunguka hasa marafiki wa karibu tunao waamini ni wasaliti wakubwa sana na ni maadui zetu wa chini chini wanaotuchukia sana.

Shetani yupo na inawezekana umesha wahi kukutana nae umewahi kusalimiana naye yani kwa kifu shetani siyo kiumbe mmoja bali ni Li Roho ambalo halina mwili. Na kazi yake ni kumdhalilisha mwanadamu kufanya vitendo viovu.

Imeshawahi kusikia kuhusu mapepo katika mfumo wa binadamu? Umeshawahi kuchukiwa na mtu au watu waliokuzunguka bila sababu au mda huu wanaongea na wewe alafu kesho wanakununia bila sababu na hujawakosea kitu. Ulisha wahi kusikia mtu anasema fulani namchukia sana lakini ukimuuliza kwanini unamchukia anasema na kukujubu basi tuu yani namchukia simpendi tuu. Hiyo ndiyo jinsi ya kumtambua shetani aishie ndani ya mtu aliye uza Nafsi.

Process ya kuuza nafsi ipo hivi unapewa fomu ya kujaza ambayo fomu hiyo inamaelekezo yote kukuhusu wewe kutoa taarifa zako zote pamoja na dhambi ambayo wewe unapenda kuifanya sana. Kuuza nafsi maana yake ni kuyapa nafasi matamanio ya nafsi yako kufanya vitu kinyume na Mungu.

Mfano kuna dhambi za uchawi, uzinzi,wizi,uvutaji bangi kunywa pombe na sigara au kusengenya, kujichuwa, ushoga,yani juu ya dhambi ni Kwamba unatoa maelezo yaliyo nyooka Kwamba hiyo dhambi unayoipenda ndiyo utakayo uza Nafsi yako.

Mfano kama Wewe ni mwanamke au mwanaume unapenda kufanya ngono au zinaa utauza Nafsi yako huko na kazi yako itakuwa kuwaharibia watu waisha yao kupitia ngono mathalani kuvunja ndoa za watu au kuambukiza magonjwa kwa makusudi nk na wakala huyo aliyeuza nafsi kwa uzinzi huwa na uwezo wa kuwapa watu magonjwa kama ukimwi au magonjwa ya zinaa lakini yeye ana dunda tuu na afya njema.

Mathalani umeuza nafsi kwa sababu ya ushoga au usagaji mafanikio yako yatakuwa huko huko ukiwa unafanya hivyo vitendo utakutana na watu mtaendana na kazi yenu itakuwa kuwaharibia maisha vijana wenzenu.

Mathalani Wewe unapenda pombe na sigara na bangi mafanikio yako yatakuwa kuwafundisha vijana matumizi ya hivyo vitu ili uharibu maisha yao.

Wewe umeuza nafsi yako ili upate nguvu za kichawi kazi yako itakuwa kuwaloga watu ambao hawajakukosea chochote wala hakuna mwanadamu aliye kufanyia ubaya lakini kwakuwa umeuza nafsi inabidi umloge na umuharibie maisha yake asiye na hatia ni roho mbaya ilioje kuishi ndani ya mtu.

The thief comes only to steal and kill and destroy; I have come that they may have life, and have it to the full. Kazi ya shetani ni kuiba nyota au destiny za watu mathalani ukiingia kwenye uzinzi au bangi au pombe zilizo pitiliza utasahau lengo alilokupa Mungu hapa duniani na utasahau kuomba baraka zao kwani Roho yako itakuwa chafu umetekwa na adui.

Tafadhali sana kuwa makini na marafiki wanao kununulia pombe sigara bangi starehe za wanawake au wanaume. Yani jiepushe na wale watu au marafiki ambao hawapungukiwi pesa za kufanyia starehe. Utanishukuru.

Wewe ni kijana usiye jitambua mimi najaribu kumuelimisha japo mtu hata mmoja anijue namanisha nini. Kwani mimi nilisha pitia hayo na nikaharibikiwa kabisa na kupotea kila kitu kwenye maisha yangu.

Dalili ya uchawi ni adictions au urahibu wowote ule iwe bangi pombe sigara ngono kula kupitiliza umbeya usengenyaji na kuzungukwa na watu wengi lakini hakuna hata mmoja mwenye msaada kwako ukiwa na shida.

Shetani yupo na atakupa nguvu za kufanya matendo mabaya sana ya kuharibu maisha ya wengine. Mbaya zaidi ukiuza nafsi unakuwa na alama ya shetani usoni kwako na pia kama wewe ni mtu wa Mungu unajulikana kwa alama kwenye paji lako.

Kwahiyo hawa kundi la shetani wanaona alama ya Mungu inayo kutambulisha muonekano wake ni Nuru wao huichukia Nuru na watajaribu kuizima.

Wakifanikiwa Wewe utaharibikiwa kila kitu kama una mali zitafilisika kama una mke mzuri anakupenda mtaachana. Wakiona hiyo alama ya Mungu basi hapo hapo unakuwa adui watakufatilia wajue wewe ni nani na unakaa wapi. Ili wajaribu kuharibu maisha yako.

Watu waliouza Nafsi hupendana wao kwa wao utawaona kwenye nyimbo wanahamasisha uzinzi,pombe, bangi na ushoga. Kwenye uongozi hawakemei mabaya.
Some Men were born to be Successful not Happy
 
Mkataba wa kuuza Nafsi ni standard form contract au fomu ambayo unajaza na kisha unasaini kwa tone la damu yako cha muhimu ni kujua kuhusu dhambi ambayo wewe unaipenda sana na unamuomba shetani akupe mafanikio kupitia dhambi hiyo.

Unauzaje ni kwamba unaruhusu kutumika na mapepo kuua kuiba na kuharibu binadamu wenzako
Zinaa inatumika sana km Ibada....
 
Back
Top Bottom