Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Jan 20, 2021
4,069
8,235
Mzuka wanajamvi wa JT na great thinkers natumaini mpo powa na tunaendelea kusurvive chini ya jua,
Husika na kichwa habari hapo juu,
Kwanza nipende kutoa onyo na tahadhari Kwa kundi Fulani Hivi la brain washed wakae Mbali na hii thread sababu itakua nje ya uwezo wao,ili tujadili mahaba ya Dini tuweke pembeni tuwe free kujadili mambo magumu na yenye ukweli mchungu ambao raia wengi hawaupendi
Ila Haina namna!
Nitaagusia kifupi sana hasa Kwa wavivu kusoma!

1.MBINGU MPYA
Wakuu Binadamu na watu wa Civilization hii wanapiga hatua kubwa kimaendeleo sayansi na teknolojia tunaona projects nyingi zinavumbuliwa Kila kukicha yaani tunaenda spidi ya kimbunga kwenye gunduzi kiasi kwamba tumefika level za kuprint watu,
Hapa namaanisha watoto wanafyatuliwa maabara nk,
Sasa Kuna hii project ya kufanya majaribio kwenye sayari ya Mars na kinara wa hiyo kazi ni ndugu Elon Musk na kampuni yake ya space x na tunaona jinsi inavyofanikiwa kwa Kasi ni kama ndoto za alinacha ila ndio hivyo inaenda kua kweli,
Baada ya hapo huko yataenda kujengwa makazi ya kisasa na raia grade one wataanza ishi huko na kuibadilisha sayari ya vumbi jekundu na miamba kua paradise,
Imagine jinsi lile jangwa la Dubai Miaka 20 iliyopita lilivyogeuzwa Jiji kubwa na lenye madhari ya kuvutia kiasi kwamba Leo mlugaluga akifika pale na kumwambia hapa palikua jangwa na eneo baya lisilifaa binadamu mwenye akili timamu kuweka makazi ataeweza akuzibue konzi Kwa ujuha wako unaomwambia maana aonacho ni maghorofa makubwa na mabustani mazuri ya kuvutia.

Sasa basi baada ya raia wa grade one kuhamishia makazi sayari ya Mars na
Kujenga mithili ya masimulizi ya Mbingu watu wa grade la chini Kama sisi huku Afrika tutaenda kutengeneza Hadith ya Mbingu mpya maana tutakua hatuna uwezo wa kufika huko sehemu yenye ustaarabu mkubwa na maisha ya Raha za ajabu pasipo dhiki maana huko Kila kitu kitaendeshwa Kwa ujuzi wa Hali ya juu kutokana na kukua Kwa science and technology Kwa kiwango Juu Cha mno!


Dunia itabaki sehemu ya mkakati maalumu na watakao Baki wale useless hakuna kitu watafanya zaidi ya kuleta shida kubwa na kuanza kufanya maasi wao Kwa wao na hakuna mtu atajali kuhusu hizo vurugu maana Kila kitu kitajiendea hovyo kutakua hakuna uongozi wa kidunia Kama ilivyo Leo UN na mataifa ya kuiongoza Dunia Ili ikalike hapo Kila mjuaji atafanya ajuavyo na Dunia itaharibika kabisa kwa uharibifu mkuu,
Ila kuna maeneo ya kimkakati yatatunzwa vizuri for future use
Baada ya yote hayo itapendekezwa raia wa Duniani wapunguzwe kabisa Kwa mbinu mbadala wabaki guardian wa kuitunza dunia na nature yake na itakua baadae salama na ni sehemu ya kutalii tu Tena Kwa gharama kubwa watu wakitoka mars huko wataona wamechoshwa na kuishi kwenye miji ya ajabu ya huko angani wakivutiwa na hali ya duniani.

2.NCHI MPYA
Baada ya sayari ya mars na wakazi wake kuchoshwa kuishi kwenye artificial Planet watatamani Sasa warudi kuishi duniani baada ya miaka mingi kupita,vuguvugu za Exodus zitaanza na wanaharakatj wengi watajitokeza kupigania kuirudia nchi mpya ya mababu zao na hapo utaandaliwa mpango maalumu wa kurejea wenye masharti magumu maana Dunia itakua Tena Kama bustani nzuri Sana na ya kuvutia na watakao kurudi watatakiwa kukidhi vigezo maalumu maana ni sehemu yenye uasili na Kwa gharama kubwa watakao kidhi vigezo watarudi na kuishi kwenye Asili Yao Kwa Raha Sana maana Dunia itakua pepo milele na hakuna shida Tena Kwa sababu watakua wamefanikiwa kubalance nature.

Yajayo yanafurahisha hii Dunia watu wanakaa Wana program namna ya kuiendesha ila sababu sisi huku tunakula makande na kuwaza ngono
Haya mambo yanakua Kama masimulizi ya Alfu lela ulela,
Ila sishangai maana ukirudi miaka 1500's na umwambie Vasco da Gama kwamba kutoka Portugal to India tunatumia masaa tu kufika anaweza kukushut Kwa revolver yake Kwa porojo zako ila uhalisia tunaujua!
Tuwe tayari Kwa mabadiliko muda wowote Dunia inaenda Kasi Sana!

The Terrible!
 
mkuu nimeliweka Hilo neno makusudi nikikusudia ni jinsi Gani watu wataenda iita sayari ya mars mbingu wakimaanisha makazi yaliyopo huko anga za juu,na hiyo wataiita hivyo Kwa sababu utakua ni msamiati wa mfano wa kuitambulisha sayari ya Mars!
Nimekuelewa.

Ila kwa upande wangu, yani sina kwele kabisa wao waende tu huko Mars sina shida nao.

And am fight to survive
 
Watakufa tuu.... Na wote tutaonana kwenye afterlife.
hizo after life ni porojo tu watu wenye akili zao wanafanya tafiti za kufa mtu Ili kuweza pandikiza seli kwenye miili ya watu Ili wawe immortal wewe unazungumzia kufa?

Hiyo ya kufa huko future itaenda kua masimulizi kwamba Kuna watu walikua wanakufa

Hahhahaa ni kama masikhara ila yajayo yanafurahisha!
 
gharama ya kutengeneza mazingira ya binadamu kusurvive mars itakua kubwa mno kiasi cha kuondoa maana kabisa ya jamii kuwepo huko, ingemake sense kwenda kwe zile earth like planets like nazo ziko mbali mno kuzifikia kwa tech za sasa, kwa mars ambako ht maji hayawez kuexist ktk hali ya kimiminika itakua issue, km vitu basic tu km maji mpk mtafute jinsi ya kuyazalisha na kuyatunza hio ni hatari maana hitilafu moja tu inaweza safisha kizazi chote
 
gharama ya kutengeneza mazingira ya binadamu kusurvive mars itakua kubwa mno kiasi cha kuondoa maana kabisa ya jamii kuwepo huko, ingemake sense kwenda kwe zile earth like planets like nazo ziko mbali mno kuzifikia kwa tech za sasa, kwa mars ambako ht maji hayawez kuexist ktk hali ya kimiminika itakua issue, km vitu basic tu km maji mpk mtafute jinsi ya kuyazalisha na kuyatunza hio ni hatari maana hitilafu moja tu inaweza safisha kizazi chote
usiangalie Kwa jicho la kawaida hizo project mkuu kumbuka tech inakua Kwa speed kubwa Sana Sana sidhani hiyo ishu ya maji kama tatizo maana kama Leo Wana mashine za kuprint vyakula Kwa kutumia mitambo ya 3d watashindwa maji tu Huko?

Ogopa technologia mkuu inaweza kufanya maajabu na ukabaki bumbuwazi!
 
ngoja waje wazee wa vifungu vya biblia na quran kuja kukukemea.

ukwel ni kwamba hii dunia ilipo hapa haijafika kwa bahat mbaya, kila ukionacho ujuwe kuwa kimekuja/tokea kwa makusudi na sio bahat mbaya.

kumekuwapo machafuko mengi dunian mpaka sas yapo machafuko yazauilikayo na yapo yasiyozuilika, na si kwel kwamba hayazuilik, ila kuna mission za watu kupitia machafuko hayo ili dunia ifikie yale malengo wanayotaka.

ni juzi tu kulkuwa na mkutano wa Umoja wa mataifa kujadili mabadiriko ya tabia nchi, na kwel ukiangalia kabla na baada ya mkutano huo kumekuwa na mabadiriko ya kutisha dunian, ikiwepo joto kali kuongezeka, mvua kupungua, haya yote hayatokei kwa bahati mbaya.

matetemeko na mafuriko/tsunami hazitokei kwa bahat mbaya, bali kuna makusudi ya watu wachache kurun dunia vile watakavyo kwa kuibua majanga/matatizo ili kupitisha agenda zao na mission zao.

magonjwa makubwa yasiyotibika na yanayotibika yanayoibuka, si bahat mbaya, bal kuna mikono ya watu ili kutimiza ajenda zao.

vita ya1&2 zote hazikutokea kibahat mbaya, na bado kuna nyingne kubwa tukae mkao wa kula kuipokea vita ya3 ya dunia ambayo itafyeka wengi zaid ya wale waliofyekwa na 1&2 world wars, na hii inaweza ihusishe siraha kubwa na zakutisha ili kuleta ufanisi mkubwa wa kuuwa&kuharibu sehem zilizotergetiwa.

pia vita hiyo inaweza isihusishe siraha hizo za moto, bali ikahusisha biological weapons au majanga ya dunia,

siraha hizo za kibaolojia znaweza kuwa kama magonjwa yaambukizwayo kwa njia nyepesi na kuuwa watu wengi bila kuwa na tiba,

pia siraha zingine ni kusababisha majanga ya dunia sehem iliyotargetiwa, mfano vimbunga, mafuriko, joto kali, tsunami, na matetemeko,

haya yote ni aina za siraha za maangamizo ambazo hufanya attacting bila kumjua msababishaji ni nani,
mfano kwa majanga ya milipuko ya magonjwa/matetemeko watu hasa wajinga wanabaki kumsingizia Mungu wao kuwa anatoa adhabu dunian sabbu ya dhambi, na wengine hawa wasomi uchwara watabaki kusingizia mabadiriko ya tabia nchi, kumbe nyuma ya pazia kuna wasababishaji wanapiga ambush ya bila wao kujulkana, na mpka watajulkana itakuwa agenda zao zmetimia.

dunia imebadrika sana, kizaz hiki si kile cha kupigana na kutishana kwa masiraha ya kutisha tokea kwa adui yako, bali ni kizaz cha usiri ambacho mjanja anafanya mission zake kisiri na kupata matokeo makubwa ambayo yanaangamiza iyo target yake, bila ya watu kumjua muhusika.

wengi hupenda kubisha kuwa, kama hao watu wananguv why wasitupige mara moja tufe? jibu ni tupo ktk nyakat ambazo kuna jamii mbili zote zenye nguvu, yaan jamii ya haki ambayo inajumuisha makundi ya utetezi wa haki za binadamu, ndiomaana hata utumwa wa afrika ulikemewa na hao hao walioleta utumwa, sababu haki za binadamu hazibagui znataka usawa wa usarama kwa jamii zote.

hivyo bas hata ile pande ya pili ambayo inawajumuisha waharibifu, ni ngumu kufanya uharibifu hadharani.

matatizo yote hayo yanafanyika ili kuandaa dunia mpya, yenye jamii mpya ya watu waliostaharabika kwa mujibu wao, pia jamii ya watu wachache watakao balance ulaji wa rasilimali za dunia bila magomvi,

target kuu ni kuondoa weak race include black people, pia kupunguza population ya watu, ili lengo la wachache watakaotawala , dunia na rasilimali,

mbinu hizi hazijaanza leo wala jana, zmekuwa zkifanyika kisiri na kutimilika kwa ukamilifu, sabbu ya watu wengi kugoma kupokea maarifa ya kupambana na uo ushenz wao ndiomaana wanafanikiwa.

dunia si sehem sarama na hapo uishipo haijarish unalindwa kinamna gani, lkn ujuwe kuwa hatuko sarama, hii dunia ina wenyew na tuendako ni kubaya kulko tuliko toka....subirini ujio wa.........naishia hapa
FB_IMG_16364821010229341.jpg
 
ngoja waje wazee wa vifungu vya biblia na quran kuja kukukemea.

ukwel ni kwamba hii dunia ilipo hapa haijafika kwa bahat mbaya, kila ukionacho ujuwe kuwa kimekuja/tokea kwa makusudi na sio bahat mbaya.

kumekuwapo machafuko mengi dunian mpaka sas yapo machafuko yazauilikayo na yapo yasiyozuilika, na si kwel kwamba hayazuilik, ila kuna mission za watu kupitia machafuko hayo ili dunia ifikie yale malengo wanayotaka.

ni juzi tu kulkuwa na mkutano wa Umoja wa mataifa kujadili mabadiriko ya tabia nchi, na kwel ukiangalia kabla na baada ya mkutano huo kumekuwa na mabadiriko ya kutisha dunian, ikiwepo joto kali kuongezeka, mvua kupungua, haya yote hayatokei kwa bahati mbaya.

matetemeko na mafuriko/tsunami hazitokei kwa bahat mbaya, bali kuna makusudi ya watu wachache kurun dunia vile watakavyo kwa kuibua majanga/matatizo ili kupitisha agenda zao na mission zao.

magonjwa makubwa yasiyotibika na yanayotibika yanayoibuka, si bahat mbaya, bal kuna mikono ya watu ili kutimiza ajenda zao.

vita ya1&2 zote hazikutokea kibahat mbaya, na bado kuna nyingne kubwa tukae mkao wa kula kuipokea vita ya3 ya dunia ambayo itafyeka wengi zaid ya wale waliofyekwa na 1&2 world wars, na hii inaweza ihusishe siraha kubwa na zakutisha ili kuleta ufanisi mkubwa wa kuuwa&kuharibu sehem zilizotergetiwa.

pia vita hiyo inaweza isihusishe siraha hizo za moto, bali ikahusisha biological weapons au majanga ya dunia,

siraha hizo za kibaolojia znaweza kuwa kama magonjwa yaambukizwayo kwa njia nyepesi na kuuwa watu wengi bila kuwa na tiba,

pia siraha zingine ni kusababisha majanga ya dunia sehem iliyotargetiwa, mfano vimbunga, mafuriko, joto kali, tsunami, na matetemeko,

haya yote ni aina za siraha za maangamizo ambazo hufanya attacting bila kumjua msababishaji ni nani,
mfano kwa majanga ya milipuko ya magonjwa/matetemeko watu hasa wajinga wanabaki kumsingizia Mungu wao kuwa anatoa adhabu dunian sabbu ya dhambi, na wengine hawa wasomi uchwara watabaki kusingizia mabadiriko ya tabia nchi, kumbe nyuma ya pazia kuna wasababishaji wanapiga ambush ya bila wao kujulkana, na mpka watajulkana itakuwa agenda zao zmetimia.

dunia imebadrika sana, kizaz hiki si kile cha kupigana na kutishana kwa masiraha ya kutisha tokea kwa adui yako, bali ni kizaz cha usiri ambacho mjanja anafanya mission zake kisiri na kupata matokeo makubwa ambayo yanaangamiza iyo target yake, bila ya watu kumjua muhusika.

wengi hupenda kubisha kuwa, kama hao watu wananguv why wasitupige mara moja tufe? jibu ni tupo ktk nyakat ambazo kuna jamii mbili zote zenye nguvu, yaan jamii ya haki ambayo inajumuisha makundi ya utetezi wa haki za binadamu, ndiomaana hata utumwa wa afrika ulikemewa na hao hao walioleta utumwa, sababu haki za binadamu hazibagui znataka usawa wa usarama kwa jamii zote.

hivyo bas hata ile pande ya pili ambayo inawajumuisha waharibifu, ni ngumu kufanya uharibifu hadharani.

matatizo yote hayo yanafanyika ili kuandaa dunia mpya, yenye jamii mpya ya watu waliostaharabika kwa mujibu wao, pia jamii ya watu wachache watakao balance ulaji wa rasilimali za dunia bila magomvi,

target kuu ni kuondoa weak race include black people, pia kupunguza population ya watu, ili lengo la wachache watakaotawala , dunia na rasilimali,

mbinu hizi hazijaanza leo wala jana, zmekuwa zkifanyika kisiri na kutimilika kwa ukamilifu, sabbu ya watu wengi kugoma kupokea maarifa ya kupambana na uo ushenz wao ndiomaana wanafanikiwa.

dunia si sehem sarama na hapo uishipo haijarish unalindwa kinamna gani, lkn ujuwe kuwa hatuko sarama, hii dunia ina wenyew na tuendako ni kubaya kulko tuliko toka....subirini ujio wa.........naishia hapaView attachment 2006377

Mr “ra” umenena kweli baadhi ya maeneo
 
Kuna mengi sana ya kujifunza na hapo ulipokazia udini ni jinsi unavyowaza wewe mwenyewe
Kuna mji Saudi wanaanza kuujenga ambao utakuwa na wakazi 1m

Mji utakuwa hauna barabara, magari wala msongamano
Kwa hiyo hata hayo wanayowazs yanawezekana na pia tumeruhusiwa kuitafuta Elimu hata iwe China

Kuhusu watu kupunguzwa kuna watu wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua kama Bill Gates anapojieleza hapa
IMG_3083.jpg
 
Kabla ya yote amini Mungu yupo na kwamba akili zake hazichunguziki! Hii dunia ameiumba kwa uwezo wake na iko siku ataikunja kama karatasi na kuichoma moto! Hizo theory zengine ni kuchoshana tu
endelea na akili zako za usiku Huyo Mungu unaesema yupo walimtengeneza wao na wakakuletea na wamekukaririsha na kukujaza upepo na umejaa

Fuuuuuu Nenda kawaulize hao waliokuambia Kuna Mungu uone Kama wao wanaamini yupo!

Kiufupi Bado hujaijua Dunia inavyoendeshwa ndugu yangu,
Huyo Mungu aliyeko na unaemuwaza kwenye akili zako hayupo na ambaye yupo hayupo na hafanyi hayo mambo ambayo wewe umekaririshwa anafanya na unajitesa kwayo,
Dini,Imani na masalia ya yake ni programing project iliyoandaliwa Kwa usahihi Sana Ili kuteka watu kisaikolojia kabla ya project kamili

Kama unabisha Leo usiniulize kwanini dini Zimeanza ibuka Karne ya 7 tu Tena AD na wakati Dunia Ina mamilion ya miaka hao watu wa nyuma waliishije?

Wake up dude,funguka akili be free utaujua ukweli ingawa itakua ngumu Sana kukuamsha uamke!
 
Kwamba mask akienda Mars hatakufa
Atakufa ila anaandaa project ambayo watoto zake na kizazi chake wataenda kua miungu watu huko mars maana atatambulika miaka mingi baadae kama Masihi na kizazi chake ndio watakua wamiliki wa hiyo sayari

Wewe huoni jinsi Gani anavyo fanya Kwa wanaye yaani ameanzisha mfumo wake wa Elimu na anawasomesha mwenyewe Kwa mitaala yake yenye balaa ndani yake hao watoto watakuja kua moto Wa kuotea mbali kuliko watu wengine wote duniani na ndio kitakua kizazi chenye ujuzi na maarifa ya Hali ya juu mno

Mfuatilie huyo jamaa kiundani hutaamini anachoenda kukifanya!
 
Back
Top Bottom